Solomon David
JF-Expert Member
- Mar 1, 2009
- 1,148
- 17
JF ni watu Mungu aliowabariki na kuwa na uwezo wa kupata mkate wa kila siku, na wengi wao wapo nje ya nchi maana hapa TZ internet access ni shida isipokuwa mpaka ofisini. Kwahiyo hawana direct impact.
Ila magazeti yanatembelea humu kwahiyo wanatusaidia kidogo kuwafikishia wa TZ ujumbe
Kwani watanzania tuko Milioni ngapi na walio mpigia kula ni milioni ngapi pamoja na rushwa, uizi wa kura..ni zahiri jibu litakuwa sikweli kwamba 80% ya watanzania wote ndiyo waliompingia..
true mmj ..i am really irked by people who still refer to 80% landslide victory as an excuse to challange this poor looser....wakati inajulikana ushindi huo ulitokana na rushwa kuanzia kwenye media hadi kwa wananchi ...na zawadi zawadi...kwa kutumia yale mabilioni ya epa ..hata angeshinda kwa asilimia 90% tusingeshangaa....kwani ni kielelezo cha umaskini wetu!!
Hapo kwenye impact sijakuelewa mkuu. Unaweza kuelezea zaidi?
Kumezuka tabia ya bloggers wa kitanzania kuendeleza kejeli kwa Rais Kikwete kwa kutumia lugha kali kali ambazo pia zinaleta uchochezi. Kati ya Bloggers washabikia tabia hii yupo Utakapojua Hujui Ndipo Utakapojua, yupo pia huyu JJ. Watu hawa wanashindwa kutofautisha kati ya ukosoaji na udhalilishaji wa hadhi ya Rais aliyechaguliwa kwa asilimia 80 ya watanzania wote. Mamlaka zinazohusika lazima zichukue hatua kukemea hali hii. Kama kuna blogger mwingine mwenye tabia hii atajwe pia hapa ili aweze kufahamika.Bloggers watambue kwamba wanaweza kuhukumiwa kwa maneno yao wanayoandika andika. Kama tunaweza kuikemea theutamu kwanini tuache kuwakemea hawa?
............ndiyohiyo
Dont forget that RESPECT IS EARNED Mr Habari ndio hiyo!Kumezuka tabia ya bloggers wa kitanzania kuendeleza kejeli kwa Rais Kikwete kwa kutumia lugha kali kali ambazo pia zinaleta uchochezi. Kati ya Bloggers washabikia tabia hii yupo Utakapojua Hujui Ndipo Utakapojua, yupo pia huyu JJ. Watu hawa wanashindwa kutofautisha kati ya ukosoaji na udhalilishaji wa hadhi ya Rais aliyechaguliwa kwa asilimia 80 ya watanzania wote. Mamlaka zinazohusika lazima zichukue hatua kukemea hali hii. Kama kuna blogger mwingine mwenye tabia hii atajwe pia hapa ili aweze kufahamika.Bloggers watambue kwamba wanaweza kuhukumiwa kwa maneno yao wanayoandika andika. Kama tunaweza kuikemea theutamu kwanini tuache kuwakemea hawa?
............ndiyohiyo
Kumezuka tabia ya bloggers wa kitanzania kuendeleza kejeli kwa Rais Kikwete kwa kutumia lugha kali kali ambazo pia zinaleta uchochezi. Kati ya Bloggers washabikia tabia hii yupo Utakapojua Hujui Ndipo Utakapojua, yupo pia huyu JJ. Watu hawa wanashindwa kutofautisha kati ya ukosoaji na udhalilishaji wa hadhi ya Rais aliyechaguliwa kwa asilimia 80 ya watanzania wote. Mamlaka zinazohusika lazima zichukue hatua kukemea hali hii. Kama kuna blogger mwingine mwenye tabia hii atajwe pia hapa ili aweze kufahamika.Bloggers watambue kwamba wanaweza kuhukumiwa kwa maneno yao wanayoandika andika. Kama tunaweza kuikemea theutamu kwanini tuache kuwakemea hawa?
............ndiyohiyo
unaaina ya utaahila kidogo, acha Uwoga kijana, Rais si malaika, raisi mwenyewe kaonyesha madhaifu makubwa, mtetezi mkubwa wa wala Rushwa...tu mafanyeje kikwete kama kumpiga bakora hatuwezi, angalau tumzomee na kumshambulia kwa maneno kila inapobidi...ndo maana nasikia kule Mbeya alipigwa mawe, wale watu wamechoka kudanganywa na kushambuliwa na umasikini unaosababishwa na mipango ya hovyo ya serikali.Kumezuka tabia ya bloggers wa kitanzania kuendeleza kejeli kwa Rais Kikwete kwa kutumia lugha kali kali ambazo pia zinaleta uchochezi.
Shame upon you to for note defending your president at this hour when he needs you against the mafisadi tide. Just press these links Utakapojua Hujui Ndipo Utakapojua and JJ you read how these guys are discrediting our president. Jk needs our support otherwise if we all bomber him he will enventually side with mafisadi
.......ndiyohiyo
ACHA NIDHAMU YA UOGA NDUGU YANGU!!!TENA NA HOTUBA YA JUZI KAMWAMBIE
"@####MSHEN$%^*((*())(&**&HANA ADABU KABISA KUKEBEHI WAZAZI WETU PALE
WIZARA YA FEDHA WAKIDAI HAKI YAO HUKU ANASEMA AMEWASAMEHE MAVISAFI WENZAKE!!!!!!!!!!!!
Hahaha ha haaa tehe tehe tehe, Mama mia hujatulia.. Anyway nimekugongea thanks kule