AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,577
- 4,637
Naomba nijifunze nini kinapotokea mtu anapopokea damu ya mtu mwingine labda group 1 au tofauti...
Or lets say mtu apewa damu ya mnyama kama mbuzi au ng'ombe...
Nini kinatokea kwenye blood transfusion na complications zake...?
Or lets say mtu apewa damu ya mnyama kama mbuzi au ng'ombe...
Nini kinatokea kwenye blood transfusion na complications zake...?