AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,577
- 4,637
Naomba nijifunze nini kinapotokea mtu anapopokea damu ya mtu mwingine labda group 1 au tofauti...
Or lets say mtu apewa damu ya mnyama kama mbuzi au ng'ombe...
Nini kinatokea kwenye blood transfusion na complications zake...?
Immune system yako ita-attack red blood cells ya hiyo damu iliyokua transfused na hiyo ndio itayokuletea shida , unaweza kufa but sio most of the casesNaomba nijifunze nini kinapotokea mtu anapopokea damu ya mtu mwingine labda group 1 au tofauti...
Or lets say mtu apewa damu ya mnyama kama mbuzi au ng'ombe...
Nini kinatokea kwenye blood transfusion na complications zake...?
Kwahiyo vile wanavoangalia mtu mwenye group O...lazima apewe na O...ni kwa sababu gani zaidi..?Immune system yako ita-attack red blood cells ya hiyo damu iliyokua transfused na hiyo ndio itayokuletea shida , unaweza kufa but sio most of the cases
Kwahiyo vile wanavoangalia mtu mwenye group O...lazima apewe na O...ni kwa sababu gani zaidi..?