(Bloomberg) -- Vodacom Group’s Tanzanian unit is considering asking market regulators to extend the deadline of its initial public offering and allow foreign participation because it’s under-subscribed, the lead adviser said.
Hapa ndo unaona upumbavu wa haya mambo! Kama hakuna wanunuzui at 850/share maanaa yake market imeongea na imesema hiyo be ni overpriced, sasa badala ya kushusha bei wanataka kutuzunguka na kuondoa maana nzima ya hii sheria ya makampuni ya simu kuuza hisa.