Bloomberg: Marekani 'kimyakimya' yaiomba Urusi iiuzie mbolea zaidi ili Marekani iweze kuzalisha mazao kwa biashara na pia iepuke njaa mwaka ujao

Bloomberg: Marekani 'kimyakimya' yaiomba Urusi iiuzie mbolea zaidi ili Marekani iweze kuzalisha mazao kwa biashara na pia iepuke njaa mwaka ujao

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Marekani kimya kimya imeanza kuhimiza makampuni yake yanayojihusisha na manunuzi ya mbolea ya Urusi na usafirishaji wa mbolea hiyo, yanunue zaidi mbolea hiyo na kusafirisha kwa wingi kwenda Marekani. Hiyo ni baada ya Marekani kupatwa na uhaba mkubwa wa mbolea, baada ya kujitia kususia mbolea ya Urusi wakati Urusi ni moja ya nchi zitegemewazo duniani ktk ku-supply mbolea duniani.

Bloomberg yasema Biden ilimlazimu atume mjumbe wake kimyakimya kwenda Moscow (Urusi) kuomba 'poo' ktk suala la mbolea ili Putin awapatie Marekani mbolea zaidi kwa ajili ya kuepuka bei kupanda zaidi lakini pia uhaba wa chakula mwaka ujao.

Screenshot_20220613-203325_Chrome.jpg
Screenshot_20220613-203653_Chrome.jpg
 
Marekani kimya kimya imeanza kuhimiza makampuni yake yanayojihusisha na manunuzi ya mbolea ya Urusi na usafirishaji wa mbolea hiyo, yanunue zaidi mbolea hiyo na kusafirisha kwa wingi kwenda Marekani....
Siyo hilo tu, Marekani imeilipa Urusi Rubble 2 billions kama gharama ya kunsafirisha mwana anga wa Marekani kuelekea space station. 😀😀

Marekani anaweka vikwazo ambavyo vikimbana anaviruka ila anataka wengine waendelee kuvizingatia
 
Siyo hilo tu, Marekani imeilipa Urusi Rubble 2 billions kama gharama ya kunsafirisha mwana anga wa Marekani kuelekea space station. 😀😀
Marekani anaweka vikwazo ambavyo vikimbana anaviruka ila anataka wengine waendelee kuvizingatia
Aisee niliiona hiyo jana nikasema nitaitupia humu, ila nikasahau!
 
Marekani kimya kimya imeanza kuhimiza makampuni yake yanayojihusisha na manunuzi ya mbolea ya Urusi na usafirishaji wa mbolea hiyo, yanunue zaidi mbolea hiyo na kusafirisha kwa wingi kwenda Marekani. Hiyo ni baada ya Marekani kupatwa na uhaba mkubwa wa mbolea, baada ya kujitia kususia mbolea ya Urusi wakati Urusi ni moja ya nchi zitegemewazo duniani ktk ku-supply mbolea duniani.

Bloomberg yasema Biden ilimlazimu atume mjumbe wake kimyakimya kwenda Moscow (Urusi) kuomba 'poo' ktk suala la mbolea ili Putin awapatie Marekani mbolea zaidi kwa ajili ya kuepuka bei kupanda zaidi lakini pia uhaba wa chakula mwaka ujao.

View attachment 2259733View attachment 2259734

Hapa ndo ninapotofautiana na Putin. Kudadadeki ningeminya hata gunia la kilo moja ya mbolea isingetoka mpaka waondoe vikwazo vyote na kurudisha mali za Urusi walizopora.
 
Watajua hawajui, nilianzisha uzi nikasema wazungu wana iq ndogo

 
Hapa ndo ninapotofautiana na Putin. Kudadadeki ningeminya hata gunia la kilo moja ya mbolea isingetoka mpaka waondoe vikwazo vyote na kurudisha mali za Urusi walizopora.
Pesa haijui vita

Halafu ukumbuke Marekani kanunua hiyo mbolea kwa kutumia ruble,hivyo pia amekula matapishi yake ya vikwazo

Amebadili dola zake kwenda Ruble,kisha akaenda kulipia huduma ya kumsafirisha huyo mwana anga

Ruble imepanda na mkong'oto unaendelea
 
Back
Top Bottom