Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,926
- 15,634
Siyo hilo tu, Marekani imeilipa Urusi Rubble 2 billions kama gharama ya kunsafirisha mwana anga wa Marekani kuelekea space station. 😀😀Marekani kimya kimya imeanza kuhimiza makampuni yake yanayojihusisha na manunuzi ya mbolea ya Urusi na usafirishaji wa mbolea hiyo, yanunue zaidi mbolea hiyo na kusafirisha kwa wingi kwenda Marekani....
Aisee niliiona hiyo jana nikasema nitaitupia humu, ila nikasahau!Siyo hilo tu, Marekani imeilipa Urusi Rubble 2 billions kama gharama ya kunsafirisha mwana anga wa Marekani kuelekea space station. 😀😀
Marekani anaweka vikwazo ambavyo vikimbana anaviruka ila anataka wengine waendelee kuvizingatia
Hii dunia inafurahisha sana.Aisee niliiona hiyo jana nikasema nitaitupia humu, ila nikasahau!
Marekani kimya kimya imeanza kuhimiza makampuni yake yanayojihusisha na manunuzi ya mbolea ya Urusi na usafirishaji wa mbolea hiyo, yanunue zaidi mbolea hiyo na kusafirisha kwa wingi kwenda Marekani. Hiyo ni baada ya Marekani kupatwa na uhaba mkubwa wa mbolea, baada ya kujitia kususia mbolea ya Urusi wakati Urusi ni moja ya nchi zitegemewazo duniani ktk ku-supply mbolea duniani.
Bloomberg yasema Biden ilimlazimu atume mjumbe wake kimyakimya kwenda Moscow (Urusi) kuomba 'poo' ktk suala la mbolea ili Putin awapatie Marekani mbolea zaidi kwa ajili ya kuepuka bei kupanda zaidi lakini pia uhaba wa chakula mwaka ujao.
View attachment 2259733View attachment 2259734
Kua na adabu wewe. MdadaMagufuli Ni Kama Putin wa Kiafrika
Acha kumfananisha Putin na vimtu vya kijingakijinga, em omba radhiMagufuli Ni Kama Putin wa Kiafrika
Hata hizo zitarudiHapa ndo ninapotofautiana na Putin. Kudadadeki ningeminya hata gunia la kilo moja ya mbolea isingetoka mpaka waondoe vikwazo vyote na kurudisha mali za Urusi walizopora.
Hautakaa uwelewe mtoto wa Mama Samia,Acha kumfananisha Putin na vimtu vya kijingakijinga, em omba radhi
Magufuli hakuhusudu mabeberu,Putin hahusudu mabeberu.So Magufuli alikuwa PUTIN wa afrika.Kua na adabu wewe. Mdada
Sema hivi Magufuli ni kama zelensky wa Ukraine
PUTIN~MAGUFULIAcha kumfananisha Putin na vimtu vya kijingakijinga, em omba radhi
USA snitch Sana[emoji4]Sema Marekani yuko kuwaingiza chaka wengine, yeye ni mwepesi sana kujirudi akiona hali siyo.
Tatizo kuendesha Vita Ni gharamaHapa ndo ninapotofautiana na Putin. Kudadadeki ningeminya hata gunia la kilo moja ya mbolea isingetoka mpaka waondoe vikwazo vyote na kurudisha mali za Urusi walizopora.
Acha kumfananisha jiwe na ile takatakaKua na adabu wewe. Mdada
Sema hivi Magufuli ni kama zelensky wa Ukraine
Pesa haijui vitaHapa ndo ninapotofautiana na Putin. Kudadadeki ningeminya hata gunia la kilo moja ya mbolea isingetoka mpaka waondoe vikwazo vyote na kurudisha mali za Urusi walizopora.