Blue Ivy Carter At The Grammys

Nacoment ili nikutie moyo usijisikie vibaya, maana mimi hujisikia vibaya ninapoanzisha sredi ikakosa comments . ' woow she's so cute'
 
Nacoment ili nikutie moyo usijisikie vibaya, maana mimi hujisikia vibaya ninapoanzisha sredi ikakosa comments . ' woow she's so cute'

Hahahahaha kwani nishawai kumlazimisha mtu acomment?

Habari za kiswahili ndio uwa mnapenda za kimombo ni shida
 
Hahahahaha kwani nishawai kumlazimisha mtu acomment?

Habari za kiswahili ndio uwa mnapenda za kimombo ni shida

Mkuu sijasema Kama umelazimisha, ila ni ubinadamu wangu ndio umenisukuma, sipendi ujisikie vibaya Kama ninavyojiskia
 
Mkuu sijasema Kama umelazimisha, ila ni ubinadamu wangu ndio umenisukuma, sipendi ujisikie vibaya Kama ninavyojiskia

Nani kakwambia mi uwa najisikia vibaya? Mi niko poa tu wasipo comment najua ujumbe umefika ila haujawavutia na kwa vile nyingine zilizowavutia wana comment hivo sioni tatizo.

Kila mtu ana uhuru wa kukoment au kuacha.

Ni hayo tu uwa sijisijikii vibaya kama wewe
 

Basi sawa
 
Nacoment ili nikutie moyo usijisikie vibaya, maana mimi hujisikia vibaya ninapoanzisha sredi ikakosa comments . ' woow she's so cute'
Masimango hayo, lakini nafikiri hii sio tabia yako kwani ungewamaliza!
 
kaziiiiiiri katoto...sura mbona haijaonyeshwa?
 
Gogle bana kumbe ukitoa uzi kila saa unaangalia kama wamekoment hahhhahhhahhhaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…