Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Huyuu katibu wa BTM bomu kabisa jana kashangaza watu
Kwanza anadai watu waachane na Simba na Yanga ati ni nembo za Taifa. Mbona amkuingilia kati Stand United ni nembo ya TBL?
Mnashangaza kuzing’ang’ania Simba na yanga kunamaslahii gani hukoo jamanii mtuambiee. Badilisheni katiba fasta.
Nashaurii kama ni nemboo za Taifa zipeni ruzuku basi na kama vipi mzipeleke pale makumbusho zikaonyeshe alama ya Taifa
Sasaa hizi timu zingine mmeziweka nemboo gani katibu wangu... Naziwaza siku hizi Simba na Yanga azipo sijui mnaenda wapi
Mwishooo nawapongeza Simba na Yanga msiyumbishwe na mtu wala chama nyie ndioo wenye timu fanyeni lolote kwa maendeleo yatimuzenuu
Wanajuaa mgaoo palee utabadilika wakija mo na manjii
Fanyeni haraka
Kwanza anadai watu waachane na Simba na Yanga ati ni nembo za Taifa. Mbona amkuingilia kati Stand United ni nembo ya TBL?
Mnashangaza kuzing’ang’ania Simba na yanga kunamaslahii gani hukoo jamanii mtuambiee. Badilisheni katiba fasta.
Nashaurii kama ni nemboo za Taifa zipeni ruzuku basi na kama vipi mzipeleke pale makumbusho zikaonyeshe alama ya Taifa
Sasaa hizi timu zingine mmeziweka nemboo gani katibu wangu... Naziwaza siku hizi Simba na Yanga azipo sijui mnaenda wapi
Mwishooo nawapongeza Simba na Yanga msiyumbishwe na mtu wala chama nyie ndioo wenye timu fanyeni lolote kwa maendeleo yatimuzenuu
Wanajuaa mgaoo palee utabadilika wakija mo na manjii
Fanyeni haraka