Ndio maana nikasema ukiangalia build Quality utaona Golf ana materials nzuri zaidi ila kimsingi Class ya gari na wanunuzi ni wale wale wamelengwa!Nope siyo ushabiki, kwamba Golf iko class moja na Runx?
Premio ifananishe na carina TI...huyu ndiye Pacha wakeHatuzungumzii wapi na wapi mkuu! Tunaongelea Class, both are mid size sedans ukileta ushabiki huwezi elewa utaniona nazingua!
Ila ni class moja na Premio mzee interms of car classifications! Hata kama kamzidi Premio vikorokoro na feautres that was what the manufacture meant it to be!
5 series ndio inaena on par na akina crown interms of comfort na build up! Lexus anakwenda na ES series!
7 series ndio top of the line sedan kwa bmw! Huyu anapambanishwa na Lexus GS450 kwa upande wa Toyota. Level of refinment ziko on par kabisa
7 series munyama! Wazungu wamejaza leather na mbao wame run out of ideas sahizi trend ni on-screen dashboard
mkuu, wakati mjadala ukiendelea tafta Lexus IS350 uitazame kwa utulivuPremio ifananishe na carina TI...huyu ndiye Pacha wake
Mkuu nimechungulia Kwenye mtandao huo MPIRA aisee ni balaa, America na ulaya wanatumia lexus badala ya crown ni kama ilivyo Toyota harrier na Toyota lexus hawa wote ni ndugu moja.Sawa
mkuu, wakati mjadala ukiendelea tafta Lexus IS350 uitazame kwa utulivu
Natumaini tumeelewana sasa, wale wabishi waendelee kukaza ubongo tu! Hizi gari resale value iko juu thus wengi hawazi afford ila wabongo wakisanuka wakaanza kuzivuta ni hatari!Mkuu nimechungulia Kwenye mtandao huo MPIRA aisee ni balaa, America na ulaya wanatumia lexus badala ya crown ni kama ilivyo Toyota harrier na Toyota lexus hawa wote ni ndugu moja.
Hii ndinga ndiyo imeuza Sana marekani Kwa upande wa sedan
View attachment 1984691
View attachment 1984692
Mkuu nimechungulia Kwenye mtandao huo MPIRA aisee ni balaa, America na ulaya wanatumia lexus badala ya crown ni kama ilivyo Toyota harrier na Toyota lexus hawa wote ni ndugu moja.
Hii ndinga ndiyo imeuza Sana marekani Kwa upande wa sedan
View attachment 1984691
View attachment 1984692
7 Series haipambanishwi na GS series, huyo anaenda na LS. LS ndio Flagship Sedan ya LexusIla ni class moja na Premio mzee interms of car classifications! Hata kama kamzidi Premio vikorokoro na feautres that was what the manufacture meant it to be!
5 series ndio inaena on par na akina crown interms of comfort na build up! Lexus anakwenda na ES series!
7 series ndio top of the line sedan kwa bmw! Huyu anapambanishwa na Lexus GS450 kwa upande wa Toyota. Level of refinment ziko on par kabisa
Hii ni ndege, yaani kama unaipata hii, halafu unatoa V12 yake unaweka V12 ya toyota au japo V8, utastarehe sana
Yeah nilichanganya madesa hapo! 7 series ni kwa LS trim ndio wako league moja!7 Series haipambanishwi na GS series, huyo anaenda na LS. LS ndio Flagship Sedan ya Lexus
Sawa sawa, na 3 series ligi moja na IS na kina Altezza kwa japan. Na toyota JAPAN Crown ndio flagship yao, so all crowns zina compete na 7 series (in Japan) ila Toyota USA, flagship yao ni Avalon.Yeah nilichanganya madesa hapo! 7 series ni kwa LS trim ndio wako league moja!
GS anapambanishwa na 5 series
Hahahahah kweli mzee ila wamejitahidi sana kuenda na upepo walau watu wanaweza pata ile Luxe feelSawa sawa, na 3 series ligi moja na IS na kina Altezza kwa japan. Na toyota JAPAN Crown ndio flagship yao, so all crowns zina compete na 7 series (in Japan) ila Toyota USA, flagship yao ni Avalon.
All in all, only Lexus LS ndio anaeweza kumtingisha 7 series kutoka kwa mjapan. Hizo crown na avalon naona ni kama wannabe cars
Uitoe V12 kwasababu gani ? mbona mnakuwa waharibifu sanaaaHii ni ndege, yaani kama unaipata hii, halafu unatoa V12 yake unaweka V12 ya toyota au japo V8, utastarehe sana
acheni kupambanisha BMW na uchafu πππ... Mjereumani toka pande za BuzaSawa sawa, na 3 series ligi moja na IS na kina Altezza kwa japan. Na toyota JAPAN Crown ndio flagship yao, so all crowns zina compete na 7 series (in Japan) ila Toyota USA, flagship yao ni Avalon.
All in all, only Lexus LS ndio anaeweza kumtingisha 7 series kutoka kwa mjapan. Hizo crown na avalon naona ni kama wannabe cars
Sawa mkuuNunua Athlete tu, kama ni gari ya kwanza!
Mtoto akiingia humo anavuja tu7 series munyama! Wazungu wamejaza leather na mbao wame run out of ideas sahizi trend ni on-screen dashboard
Kwa sababu ya reliability.Uitoe V12 kwasababu gani ? mbona mnakuwa waharibifu sanaaa
Hizo hazishuki Bei hovyo hovyo Kama zile utopolo Germany fc.Natumaini tumeelewana sasa, wale wabishi waendelee kukaza ubongo tu! Hizi gari resale value iko juu thus wengi hawazi afford ila wabongo wakisanuka wakaanza kuzivuta ni hatari!