BMW M3/M4 & M3/M4 Competition: New Look.

BMW M3/M4 & M3/M4 Competition: New Look.

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,092
Reaction score
53,496
BMW M3/M4;
Engine: 3l twin turbo
Output: 480hp
0-100km: 4.2s
Top speed: 290km/h

BMW M3/M4 Competition;
Output: 510hp
0-100km: 3.9s
Top speed: 290km/h


Price: $69,000/$71,000

IMG_20200923_161911.jpg
IMG_20200923_162055.jpg
IMG_20200923_162112.jpg
IMG_20200923_162638.jpg
 
Hadithi za Abunuwasi

Mpka zije Bongo ni pele kitukuu chako kitakapoa na kitukuu chake
 
Izo grills sijazielewa. Naona zinaanza lua ugly. F series kurudi nyuma ndio zilikua nzuri.

Ila M4 always ni moto.
 
Maeneo ya Masaki na Mbezi beach kuna wababe wa haya Magari ukipita mitaa hiyo utakutana na MIPIRA(Magari) ya ukweli si mchezo, nakumbuka wiki iliyopita nimekutana na Audi A7 maeneo ya Masaki chole road hakika nikaamini haya maeneo ya washua
Hata Arusha huku Q8 zipo kibao, jeep wrangla, Posche za kutosha mkuu.
 
Izo grills sijazielewa. Naona zinaanza lua ugly. F series kurudi nyuma ndio zilikua nzuri.

Ila M4 always ni moto.
BMW sasa wana experiment na hio grill yao. Hawajui the best way to design it wanajaribu kila kitu saiv.
 
Out of topic. Kuna mtu anaejua siri ya gari za Singapore? Beforward nakuta BMW 7 series ya 2011 inauzwa $5,570 tu?????? Tna ukiitizama ipo in good condition.
 
Hata Arusha huku Q8 zipo kibao, jeep wrangla, Posche za kutosha mkuu.

Arusha kwny porsche zimejaa Cayenne tena zile model za nyuma huko before 2010 ambazo huko be forward zinauzwa bei ya kawaida tu kwny $6,000 ushuru wake tu ndo unaumiza TRA wanataka mil 30 hapo,boxster nazo ziko chache za kuzugia tu ambazo nazo beì ni kawaida sana tu.

Wrangler YJ na TJ ndio zimejaa hapo town tena ni zile SE trims,Sahara/Rubicorn ndo zinahesabika kabisaa. JK zenyewe bado hazijawa nyingi kihivyo.
 
Out of topic. Kuna mtu anaejua siri ya gari za Singapore? Beforward nakuta BMW 7 series ya 2011 inauzwa $5,570 tu?????? Tna ukiitizama ipo in good condition.
Nayajua magari mawili yaliyonunuliwa kwa muda tofauti tofauti kutoka Singapore(lkn yenyewe hayakua BMW), kwa nje yalikua poa sana interior ziko vzr kichizi lkn ilipokuja kwny mechanical issues zilizingua hata pale NIT(since hatuna vituo vya ukaguzi huko Singapore then gari za kutoka huko lazima zije kukaguliwa pale NIT) ilikua ni mziki maana faults za kutosha kwny gari kuanzia kwny miguu mpk kwny engine.

So kwa maoni yangu binafsi si-recommend sana gari za kutoka Singapore.
 
Nayajua magari mawili yaliyonunuliwa kwa muda tofauti tofauti kutoka Singapore(lkn yenyewe hayakua BMW), kwa nje yalikua poa sana interior ziko vzr kichizi lkn ilipokuja kwny mechanical issues zilizingua hata pale NIT(since hatuna vituo vya ukaguzi huko Singapore then gari za kutoka huko lazima zije kukaguliwa pale NIT) ilikua ni mziki maana faults za kutosha kwny gari kuanzia kwny miguu mpk kwny engine.

So kwa maoni yangu binafsi si-recommend sana gari za kutoka Singapore.
Niliamua kufanya research kidogo kuona kwa nini bei chee, nikaona kuwa ni kutokana na gharama za umiliki gari nchini Singapore ni kubwa na mtu hutaka kuiuza kwa haraka maana kila siku gari inalipiwa.

Lakini hayo uyasemayo huenda pia ikawa ndio chanzo. $5000 BMW ya 2011? inashindana na Crown wakati crown ni corona tu yenye body kubwa! 😀
 
Back
Top Bottom