BMW Mini cooper

BMW Mini cooper

La Pronto

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2013
Posts
973
Reaction score
1,159
Nikiwa katika muendelezo wa kudunduliza hela ya kununulia my ever dream ride BMW mini cooper, naombeni msaada wa more details kuhusu hii gari (wenye kufahamu) ikiwemo upatikanaji wa spare

Asanteni
Natanhuliza shukrani!
 
Nikiwa katika muendelezo wa kudunduliza hela ya kununulia my ever dream ride BMW mini cooper, naombeni msaada wa more details kuhusu hii gari (wenye kufahamu) ikiwemo upatikanaji wa spare

Asanteni
Natanhuliza shukrani!
Pamoja na fuel consumption yake!
 
Mimi naomba kuuliza kwa mwenye uzoefu na hawa kupatana hasa kwenye magari
 
Nikiwa katika muendelezo wa kudunduliza hela ya kununulia my ever dream ride BMW mini cooper, naombeni msaada wa more details kuhusu hii gari (wenye kufahamu) ikiwemo upatikanaji wa spare

Asanteni
Natanhuliza shukrani!

Mkuu usingalie Fob price peke yale angalia ushuru TRA mini cooper ni gari za maika ya karibuni latest ushuru wake uko juu.

Ni gari nzuri sana kwa sisi wamiliki wa BMW nakuahidi hujatujia kumili bimmer its a monister power, luxury and speed.
 
Niliiona one day inapigwa mnada na Yono Auction, nadhani bado ipo pale kwenye Yard karibu na Sophia House....Red in color, go for it, very cheap
 
Mkuu usingalie Fob price peke yale angalia ushuru TRA mini cooper ni gari za maika ya karibuni latest ushuru wake uko juu.

Ni gari nzuri sana kwa sisi wamiliki wa BMW nakuahidi hujatujia kumili bimmer its a monister power, luxury and speed.
. mkuu kuna siku niliichek kwe mtandao wa BEFORWARD, nikacheki na tra calculator total ikaja kama 14m iv!
 
Niliiona one day inapigwa mnada na Yono Auction, nadhani bado ipo pale kwenye Yard karibu na Sophia House....Red in color, go for it, very cheap
Mkuu kama ulipata fununu, ilikua inaanzia ngap?
 
Daah kweli watu tuna dream tofauti, mini Cooper? All the best chief
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wewe una mawazo kama mimi Mkuu. Kuna mtu humu aliniomba ushauri kununua hii, nikamshauri hii si gari ya kuendesha katika jiji analoishi.

Daah kweli watu tuna dream tofauti, mini Cooper? All the best chief
 
Wewe una mawazo kama mimi Mkuu. Kuna mtu humu aliniomba ushauri kununua hii, nikamshauri hii si gari ya kuendesha katika jiji analoishi.
Hapo tuko pamoja chief
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mimi pia napenda cooper but as a second car.
31 mins to Trump - Clinton debate wengine tunashindwa kulala
 
Back
Top Bottom