Car4Sale BMW Tsh.Mil 18.5

Car4Sale BMW Tsh.Mil 18.5

BANGO JEUPE

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2015
Posts
3,079
Reaction score
2,152
Ipo
 

Attachments

  • IMG-20161013-WA0033.jpg
    IMG-20161013-WA0033.jpg
    80.4 KB · Views: 116
  • IMG-20161013-WA0034.jpg
    IMG-20161013-WA0034.jpg
    72 KB · Views: 113
  • IMG-20161013-WA0030.jpg
    IMG-20161013-WA0030.jpg
    120.8 KB · Views: 119
  • IMG-20161013-WA0031.jpg
    IMG-20161013-WA0031.jpg
    93.7 KB · Views: 113
  • IMG-20161013-WA0032.jpg
    IMG-20161013-WA0032.jpg
    101.9 KB · Views: 144
  • 20161017_170834.jpg
    20161017_170834.jpg
    132.6 KB · Views: 70
  • 20161017_170825.jpg
    20161017_170825.jpg
    191.5 KB · Views: 73
  • 20161017_170850.jpg
    20161017_170850.jpg
    130.2 KB · Views: 71
  • 20161017_170850.jpg
    20161017_170850.jpg
    130.2 KB · Views: 76
inaondoka balaa hii gari mkuu alafu ukiwa ndani kama uko nchi za mbali huko yaani raha tele
Designer wa hii gari wakati anaiunda alituliza akili.... sielewi ni ulevi wangu kwenye magari au akili iko mbele kwa kuupata utamu ... ila nikiwa naendeshwa na hii gari halafu dereva ni wa kiumeni wallah nanyemvuka hadi rohoni. ... nikiwa kwenye usukani mwenyewe hata nikakutana na mdeni wangu namtabasamia tuu yaani nakuwa na raha mda wote...... The love for BMW with Kasie. ....
 
Beamer Benz or Bentley... Hicho kidude kinatuliaga sana mwenye lami aisee!
 
Model: 320i
Mwaka: 2002
Speed: 240
Petrol - 1990cc
Imetembelewa: 102,000 Km
Automatic / Manual.- 6 - gears
TRA-
Valid - Dec 27/2016
Insuarance - Compensive Dec/2016

::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::
Ipo Dar Es Salaam , Kigamboni
simu namba +255 718 295 182

::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::
Ni mwaka mmoja toka niagize toka japan, sasa nauza kwa sababu nataka kubadrisha usafiri. aliye siriazi tunaongeakaribu
::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::
Bango

View attachment 418100 View attachment 418087 View attachment 418088 View attachment 418097 View attachment 418099 View attachment 418100
Hela kubwa sana kwa hiyo model ya 2002.
 
Designer wa hii gari wakati anaiunda alituliza akili.... sielewi ni ulevi wangu kwenye magari au akili iko mbele kwa kuupata utamu ... ila nikiwa naendeshwa na hii gari halafu dereva ni wa kiumeni wallah nanyemvuka hadi rohoni. ... nikiwa kwenye usukani mwenyewe hata nikakutana na mdeni wangu namtabasamia tuu yaani nakuwa na raha mda wote...... The love for BMW with Kasie. ....

Mambo ya "Be My Wife" hayo,Kasinde! Ngoja niuze dagaa zangu mwezi huu nilinunue, ntakutafuta!
 
Back
Top Bottom