BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,079
- 2,152
inaondoka balaa hii gari mkuu alafu ukiwa ndani kama uko nchi za mbali huko yaani raha teleHizi gari ni tamu achaa, kuna moja nilipanda nikiwa mwanza waalaah yule kaka siku ile isingekuwa. .......anatafuna na angemwaga ndani
inaondoka balaa hii gari mkuu alafu ukiwa ndani kama uko nchi za mbali huko yaani raha tele
Designer wa hii gari wakati anaiunda alituliza akili.... sielewi ni ulevi wangu kwenye magari au akili iko mbele kwa kuupata utamu ... ila nikiwa naendeshwa na hii gari halafu dereva ni wa kiumeni wallah nanyemvuka hadi rohoni. ... nikiwa kwenye usukani mwenyewe hata nikakutana na mdeni wangu namtabasamia tuu yaani nakuwa na raha mda wote...... The love for BMW with Kasie. ....inaondoka balaa hii gari mkuu alafu ukiwa ndani kama uko nchi za mbali huko yaani raha tele
Hizi gari ni tamu achaa, kuna moja nilipanda nikiwa mwanza waalaah yule kaka siku ile isingekuwa. .......anatafuna na angemwaga ndani
NiPM Mimi ninalo kama hilo niwe nakupa lift za town trip na hata Mikoani.
Walah ningepata hiyo fursa tukifika Lushoto naenda kukumwagia ndani pale irente!!Tumalizane hapa hapa bana, nina mwaka sasa sijaenda Lushoto, waonaje tukifanya safari ya huko? Na zile kona kona wallah tukifika ushamaliza kila kitu.... heheheheh
Walah ningepata hiyo fursa tukifika Lushoto naenda kukumwagia ndani pale irente!!
Huyo kaka ni mie basi😉Hizi gari ni tamu achaa, kuna moja nilipanda nikiwa mwanza waalaah yule kaka siku ile isingekuwa. .......anatafuna na angemwaga ndani
Tuliza akili unapotaka kuchangia mada yani muuzaji unamwambia anunue tena!!!mkuu umetisha sana, haina haja ya kusafiri kwenda nje, nunua hyo gari af unataja jina la nchi uitakayo
Tumalizane hapa hapa bana, nina mwaka sasa sijaenda Lushoto, waonaje tukifanya safari ya huko? Na zile kona kona wallah tukifika ushamaliza kila kitu.... heheheheh
kaka naomba nije pm hata nikusalimie tu unipe lift siku moja
Hela kubwa sana kwa hiyo model ya 2002.Model: 320i
Mwaka: 2002
Speed: 240
Petrol - 1990cc
Imetembelewa: 102,000 Km
Automatic / Manual.- 6 - gears
TRA- Valid - Dec 27/2016
Insuarance - Compensive Dec/2016
::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::
Ipo Dar Es Salaam , Kigamboni
simu namba +255 718 295 182
::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::
Ni mwaka mmoja toka niagize toka japan, sasa nauza kwa sababu nataka kubadrisha usafiri. aliye siriazi tunaongeakaribu
::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::
Bango
View attachment 418100 View attachment 418087 View attachment 418088 View attachment 418097 View attachment 418099 View attachment 418100
Designer wa hii gari wakati anaiunda alituliza akili.... sielewi ni ulevi wangu kwenye magari au akili iko mbele kwa kuupata utamu ... ila nikiwa naendeshwa na hii gari halafu dereva ni wa kiumeni wallah nanyemvuka hadi rohoni. ... nikiwa kwenye usukani mwenyewe hata nikakutana na mdeni wangu namtabasamia tuu yaani nakuwa na raha mda wote...... The love for BMW with Kasie. ....
kwani ni wewe?Kariiiiibu sana Mrembo