Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo nini hiki? Kama ni hydrogen mbona toyota walidevelop hydrogen engine muda na CEO wao alikuwa badala ya gari za umeme alikuwa akipigia debe hydrogen engine.
Will be among the first customers
Sipati picha mafundi wa tabata reli na kigogo kuhusu hiyo injini.Sasa hili gari likiharibika engine fundi maiko ataanzia wapi?
Nimecheka sanaMsituchoshe wanawake plz...karibia tunaanza kujua kubadili tyre mnaleta tena mi injini yenu kama nyumba...
Hapo ndio utasikia wewe na fundi wako mnaanza kuhaha kutafuta fundiSasa hili gari likiharibika engine fundi maiko ataanzia wapi?
Ukishalitumia-tumia mkuu, utanirushie pande nilinunue kutoka kwakoWill be among the first customers
Achana hata na hi ya hydrogen engine, fundi maiko gari zote za ulaya zinamsumbua, hata za Japan fundi maiko anazijua zaidi Toyota kuliko brand zingine kama Mitsubishi, Subaru, Suzuki nk. Nakushauri, peleka gari kwa mafundi Michael achana na fundi maiko.Sasa hili gari likiharibika engine fundi maiko ataanzia wapi?