Naomba ushauri mi si mzoefu sana wa magari,ila nahitaji usafiri wa matumizi binafsi sasa kuna gari mbili huwa navutiwa nazo kati ya BMW X5 na HARRIER new model.....ipi na gari nzuri kwa matumizi ya kawaida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.