Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kwa wale wanaopenda watoto wao kusomea mambo ya anga imeniwia kuomba radhi kwa wanaohusika na hiki chuo kwa matendo wanayoendelea kuwafanyia wanafunzi wao
muhimu kilichonileta hapa ni wale wazazi mnaotarajia kupeleka watoto wenu kusomea kozi za flight dispatchers chuo hiki kimefungiwa na tcaa mamlaka ya anga tanzania kwa wanafunzi wa f/dispatchers kufanya mitihani yao
binafsi nisingeendea vijana wenye kuwekeza ama hata kuuza nguo zao kwa ajili ya maendeleo mwisho waishie kuranda bararani kwa kuwanufaisha wachache....hii ni kwa taarifa tu maana kuna kundi limepanga kuandamana kwenda tcaa kupinga ufedhuli huu..swali lilipo wanafunzi wakimaliza chuo wanatakiwa wakafanye mtihan wa f/disp na kupaa licence/cha ajabu ukienda unaambiwa chuo chenu kimefungiwa kufanya mitihani...walipodadisi waliambiwa kuna mwanafunzi alikamtwa na mtihan akawekwa chumba kimoja kusubiri mahojiano ..baada ya dk kadhaa awakumkuta tena wakakuta tu kitambulisho chao.wakubwa walipofatwa wakadai awahusiiki na hiyo mitihan na ukweli kilichokamatwa ndio mtihani halisi
swali langu nauliza ni mwaka sasa hiiki chuo kimekuwa kikipokea wanafunzi wa kozi hii na tcaa wamekuwa kimya na baada ya kumaliza kozi wanawaambiwa awawezi kufanya mtihani je kuna uhusiano gani kati ya hiki cho na tcaa???kama mamlaka husika iweje mruhusu wanafunzi kuendelewa kutahiniwa kwenye hiki chuo hali wakimaliza awaruhusiwi kufanya mtihani
mbaya zaidi wamekuwa wakiwashawishi wanauhusiano na chuo kimoja huko uk wanafunzi wamekuwa wakifanya diploma zao na kulipa in dollers pesa nyingi iweje leo hii waambiwe awaruhusiwi kufanya mitihani???kuna nini mh manoni mzee wangu wa tcaa embu tufungulie milango kwa hili
embu mkae chini muangalie watoto wangapi wamesoma wamelipa pesa kwa doller nyingi leo hii wanaambiwa awawezi kufanya mitihani....
Ombi
mamlaka ya tcaa akuna wa kutafuta mchawi bali kama mtanzania ombi langu muwafungulie hawa watoto waliomaliza hiko chuo wafanye mitihan yao mungu awajalie wapate ajira..na wakati huo huo kama mmeamua kukifungia chuo waanfunzi wasifanye mitihani iweje jamani leo hiimnaruhusu wanaendeelea kuchukua wanafunzi mamia na kulipa pesa nyingi tu??
muhimu kilichonileta hapa ni wale wazazi mnaotarajia kupeleka watoto wenu kusomea kozi za flight dispatchers chuo hiki kimefungiwa na tcaa mamlaka ya anga tanzania kwa wanafunzi wa f/dispatchers kufanya mitihani yao
binafsi nisingeendea vijana wenye kuwekeza ama hata kuuza nguo zao kwa ajili ya maendeleo mwisho waishie kuranda bararani kwa kuwanufaisha wachache....hii ni kwa taarifa tu maana kuna kundi limepanga kuandamana kwenda tcaa kupinga ufedhuli huu..swali lilipo wanafunzi wakimaliza chuo wanatakiwa wakafanye mtihan wa f/disp na kupaa licence/cha ajabu ukienda unaambiwa chuo chenu kimefungiwa kufanya mitihani...walipodadisi waliambiwa kuna mwanafunzi alikamtwa na mtihan akawekwa chumba kimoja kusubiri mahojiano ..baada ya dk kadhaa awakumkuta tena wakakuta tu kitambulisho chao.wakubwa walipofatwa wakadai awahusiiki na hiyo mitihan na ukweli kilichokamatwa ndio mtihani halisi
swali langu nauliza ni mwaka sasa hiiki chuo kimekuwa kikipokea wanafunzi wa kozi hii na tcaa wamekuwa kimya na baada ya kumaliza kozi wanawaambiwa awawezi kufanya mtihani je kuna uhusiano gani kati ya hiki cho na tcaa???kama mamlaka husika iweje mruhusu wanafunzi kuendelewa kutahiniwa kwenye hiki chuo hali wakimaliza awaruhusiwi kufanya mtihani
mbaya zaidi wamekuwa wakiwashawishi wanauhusiano na chuo kimoja huko uk wanafunzi wamekuwa wakifanya diploma zao na kulipa in dollers pesa nyingi iweje leo hii waambiwe awaruhusiwi kufanya mitihani???kuna nini mh manoni mzee wangu wa tcaa embu tufungulie milango kwa hili
embu mkae chini muangalie watoto wangapi wamesoma wamelipa pesa kwa doller nyingi leo hii wanaambiwa awawezi kufanya mitihani....
Ombi
mamlaka ya tcaa akuna wa kutafuta mchawi bali kama mtanzania ombi langu muwafungulie hawa watoto waliomaliza hiko chuo wafanye mitihan yao mungu awajalie wapate ajira..na wakati huo huo kama mmeamua kukifungia chuo waanfunzi wasifanye mitihani iweje jamani leo hiimnaruhusu wanaendeelea kuchukua wanafunzi mamia na kulipa pesa nyingi tu??