Board ya Tanesco iliyojaa wafanyabiashara ina maoni gani?

Board ya Tanesco iliyojaa wafanyabiashara ina maoni gani?

robinson crusoe

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2020
Posts
762
Reaction score
1,236
Januari aliteua board iliyojaa watu wenye sifa mfu na wizi na hata kuwahi kushitakiwa kwa kuiibia Tanesco. Mara tu, Paa! Yamekuja haya ya kusingizia ukame. Lakini, yametanguliwa na taarifa kwamba Tanesco inafanya matengezo ya mitambo. Haieleweki taarifa halisi ya tatizo la umeme ni nini? Je, hiyo bodi ya watu wake inasema nini? Au bado inasoma mitandaoni ili ije na mifano ya Malaysia na Singapore?

Wizara hii ilistahili mtu wa sayansi, anayejua dunia inazunguka kuelekea upande upi. Siyo hawa wanaoshinda mitandaoni na wakitoa taarifa hopeless.
 
Mama anaamini hatuna cha kufanya,ila cha kufanya kipo,tena cha kuuzi haswa juu yao
 
Januari aliteua board iliyojaa watu wenye sifa mfu na wizi na hata kuwahi kushitakiwa kwa kuiibia Tanesco. Mara tu, Paa! Yamekuja haya ya kusingizia ukame. Lakini, yametanguliwa na taarifa kwamba Tanesco inafanya matengezo ya mitambo. Haieleweki taarifa halisi ya tatizo la umeme ni nini? Je, hiyo bodi ya watu wake inasema nini? Au bado inasoma mitandaoni ili ije na mifano ya Malaysia na Singapore?

Wizara hii ilistahili mtu wa sayansi, anayejua dunia inazunguka kuelekea upande upi. Siyo hawa wanaoshinda mitandaoni na wakitoa taarifa hopeless.
Wanachapa kazi ili kukabiliana na tatizo.
 
Ujinga mwingine ni wa kuacha tu,umeme unakatika Kila Mara,bwawa la Nyerere limeongezewa muda kwa kisingizio cha crane aibu tupu,macho tunayo na akili tunazo endeleeni na hayo madili yenu.
Pale bandarini kuna container za tani 50 zinanyanyuliwa na cranes nyingi tu! Ziko pale. Yeye anasema ana vyuma vikubwa sana vya tani 26! Kijana mzee anaaamini tani 26 ni nyingi sana hadi anatoa taarifa bungeni.
 
Januari aliteua board iliyojaa watu wenye sifa mfu na wizi na hata kuwahi kushitakiwa kwa kuiibia Tanesco. Mara tu, Paa! Yamekuja haya ya kusingizia ukame. Lakini, yametanguliwa na taarifa kwamba Tanesco inafanya matengezo ya mitambo. Haieleweki taarifa halisi ya tatizo la umeme ni nini? Je, hiyo bodi ya watu wake inasema nini? Au bado inasoma mitandaoni ili ije na mifano ya Malaysia na Singapore?

Wizara hii ilistahili mtu wa sayansi, anayejua dunia inazunguka kuelekea upande upi. Siyo hawa wanaoshinda mitandaoni na wakitoa taarifa hopeless.
Wameamua kufanya biashara ya majenereta na solar energy kwa kuongeza mzigo ili stock iwe ya kutosha
 
Pale bandarini kuna container za tani 50 zinanyanyuliwa na cranes nyingi tu! Ziko pale. Yeye anasema ana vyuma vikubwa sana vya tani 26! Kijana mzee anaaamini tani 26 ni nyingi sana hadi anatoa taarifa bungeni.
Eti ndiyo tuliambiwa anafuata utendaji kazi,maskini Tanzania yangu.
 
Shimo wanalotaka kutuchimbia sisi watatumbikia wenyewe, huwezi shindana na Mungu ukashinda, mark my words.
 
Januari aliteua board iliyojaa watu wenye sifa mfu na wizi na hata kuwahi kushitakiwa kwa kuiibia Tanesco. Mara tu, Paa! Yamekuja haya ya kusingizia ukame. Lakini, yametanguliwa na taarifa kwamba Tanesco inafanya matengezo ya mitambo. Haieleweki taarifa halisi ya tatizo la umeme ni nini? Je, hiyo bodi ya watu wake inasema nini? Au bado inasoma mitandaoni ili ije na mifano ya Malaysia na Singapore?

Wizara hii ilistahili mtu wa sayansi, anayejua dunia inazunguka kuelekea upande upi. Siyo hawa wanaoshinda mitandaoni na wakitoa taarifa hopeless.
Watu wanapiga pesa mbaya
 
kwenye hili nimepiga bingu bila kodi kuna mtu tuliwekeana na nikamwambia mwambu huyu wa bk katoka segelea lazima mgao wa umeme uanze tukawekeana laki laki haijapita mwezi nimepiga hela mwenzenu naona mbali sijui wamrufisheko? au nyie mnasenaje
 
Toto linapewa vyeo tu kwa jina la baba.
Magu mnamuita kilaza ila aligundua hili ni kilaza zaidi yangu akamrudisha kijijini.
Huyu mama sijui anatupeleka wapi.
 
kwenye hili nimepiga bingu bila kodi kuna mtu tuliwekeana na nikamwambia mwambu huyu wa bk katoka segelea lazima mgao wa umeme uanze tukawekeana laki laki haijapita mwezi nimepiga hela mwenzenu naona mbali sijui wamrufisheko? au nyie mnasenaje
Da mkuu huu uandishi wako ni changamoto sn
 
Back
Top Bottom