TANZIA Bob Makani afariki dunia

mzee wa njaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2011
Posts
1,363
Reaction score
223
Habari za uhakika muda mchache uliopita nimepata taarifa ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema kabla ya Mbowe... Mzee Bob Makani amefariki.

R.I.P Bob Makani

Kwasababu ya msiba huu, CHADEMA wamesitisha Operesheni Okoa Kusini na wanarejea Dar kwa shughuli ya msiba.

Source: Kutoka kwa ndugu zake.

UPDATES...




 
Last edited by a moderator:


RIP Mzee Bob Makani
Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi

Amina
 
Poleni wakuu,tatizo lake lile lile au jingine? Maana nakumbuka kulikua na uzi alilazwa aghakan!!
 
Kazi umeitenda, nchi umeitumikia, nenda kapumzike Mzee Makani
 
Confirmed

Naona uzi wa awali ulifutwa kabla hata mtu mmoja hajapost. Lakini wanaJF tujifunze jinsi ya kuleta habari kubwa kama hizi,
mzee wa njaa alileta kama tetesi halafu breaking news hivi inawezekana kweli? Nawapongeza MoDs kwa kuwa makini.

Tukiachana na hilo, poleni sana wanaCDM na watanzania kwa ujumla. RIP Makani.
 
Mungu mwenye wingi wa Rehema Uilaze mahala pema peponi Roho ya Mpendwa wetu Bob Makani Amen.
 
Mzee wa Njaa na Wana JF,
Nawapa Pole Familia ya Marehemu Bob Makani na Ndugu na Jamaa na Marafiki, Kazi ya Bwana haina Makosa, Bwana alitoa na Bwana alitwaa, Na Jina la Bwana Yesu na lihimidiwe.
Nawakilisha



Habari za uhakika muda mchache uliopita nimepata taarifa ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema kabla ya Mbowe...Mzee Bob Makani amefariki.

R.I.P Bob Makani


Source: Kutoka kwa ndugu zake.
 
RIP Mzee Makani.
Sote twaona matunda ya kile ulianzisha.
 
Mwenyezi akutangulie mzee wetu,mwambie Baba wa Taifa CDM inakaribia kuwakamata wahujumu uchumi kama enzi zake... mwambie tunamwomba apendekeze adhabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…