[emoji23][emoji23][emoji23]Bob alikuwa ni akili kubwa sana[emoji119][emoji119]. Hii bangi aliyokuwa akivuta ilikuwa ni ya namna gani? Maana huku mtaani huwa nawaona wavuta bangi wengi ni kama vichaa fulani
Umri wa miaka 36, watoto 11, wanawake 7.Bob alikuwa ni akili kubwa sana[emoji119][emoji119]. Hii bangi aliyokuwa akivuta ilikuwa ni ya namna gani? Maana huku mtaani huwa nawaona wavuta bangi wengi ni kama vichaa fulani
Ile bangi aliokua anavuta Bob ndio nilichukua mbegu yake nikaotesha mmea hapa nyumbani kwangu, na ndio ninayo vuta...😎Bob alikuwa ni akili kubwa sana[emoji119][emoji119]. Hii bangi aliyokuwa akivuta ilikuwa ni ya namna gani? Maana huku mtaani huwa nawaona wavuta bangi wengi ni kama vichaa fulani
Hili andiko nalichukua na naenda kulifanyia lamination kabisa.....Umri wa miaka 36, watoto 11, wanawake 7.
Anatema madini, mkia uko pouwa....sijui ni bangi gani wanayovuta sasa inayowafanya wawe punguani, mkia dororo kinyume na mwamba!
Kwa hiyo Mkuu una kitu cha Jamaica?Ile bangi aliokua anavuta Bob ndio nilichukua mbegu yake nikaotesha mmea hapa nyumbani kwangu, na ndio ninayo vuta...😎
Mche umestawi hapo mlangoni kama ua...Kwa hiyo Mkuu una kitu cha Jamaica?
Safi sana....Hiyo kitu ina akili sana...achana na hivyo vitu vya Morogoro, Iringa na Njombe. Hiyo kitu ya Jamaica ni kitu really....Mche umestawi hapo mlangoni kama ua...
Alikuwa na mvuto hata ivo.....Na jamaa alijua kuwakirimu kweli
Huko sasa nakuachia ww uamueAlikuwa na mvuto hata ivo.....
Yeah,ivo yaanHuko sasa nakuachia ww uamue
Itakuwa walikuuzia mbegu fake🤣🤣🤣🤣Ile bangi aliokua anavuta Bob ndio nilichukua mbegu yake nikaotesha mmea hapa nyumbani kwangu, na ndio ninayo vuta...😎