Hao wavuta kushabu sio bangi. Wavute walau skanka.Bob alikuwa ni akili kubwa sana[emoji119][emoji119]. Hii bangi aliyokuwa akivuta ilikuwa ni ya namna gani? Maana huku mtaani huwa nawaona wavuta bangi wengi ni kama vichaa fulani
Kwani nafeli wapi mkuu...😥Itakuwa walikuuzia mbegu fake🤣🤣🤣🤣
Hili andiko nalichukua na naenda kulifanyia lamination kabisa.....
Maana leo nimegundua Bob alikua mentor wangu 90%...😜
Hakika,Therefore, every woman can be special to someone.