johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Sakata la Gen Z linatufunza mambo mengi yalivyo katika Tawala za Africa mashariki
Spika Dr Tulia aliwahi kusema Rais ndio kila Kitu
Chadema wakapinga Sana na kutolea mfano Spika wa Kenya hawezi kuagizwa na Ikulu
Mbunge wa Embakassy Owino ameliweka Hilo sawa
Ahsanteni Sana 😂
Spika Dr Tulia aliwahi kusema Rais ndio kila Kitu
Chadema wakapinga Sana na kutolea mfano Spika wa Kenya hawezi kuagizwa na Ikulu
Mbunge wa Embakassy Owino ameliweka Hilo sawa
Ahsanteni Sana 😂