Bob Risky aachiwa huru

Bob Risky aachiwa huru

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
426
Superstar kutoka nchini Nigeria Okuneye Olanrewaju, maarufu kama Bobrisky aachiwa huru baada ya kukamatwa April kwa madai ya kutumia vibaya na kukata noti za hela ya nigeria (naira) katika uzinduzi wa filamu huko Lagos na kuhukumiwa kifungo cha miezi sita jela bila faini
 
Back
Top Bottom