Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Mwana mziki na mwana siasa nchini Uganda kijana Robert Kyagulanyi maarufu kama Bob Wine amesema kuwa ni lazima sasa Rais Museveni athibitishe uraia wake.
Ameyasema hayo leo hii kwenye makao makuu ya chama chake mjini Kampala.
Amesema kwa tabia za Museveni hazilingani na tabia za waganda.
Hakika wapinzani Afrika Mashariki wameamua kuondoa uoga.
Ameyasema hayo leo hii kwenye makao makuu ya chama chake mjini Kampala.
Amesema kwa tabia za Museveni hazilingani na tabia za waganda.
Hakika wapinzani Afrika Mashariki wameamua kuondoa uoga.