big up boban endelea na kampeni yako ya kun'goa wote wanahujumu timu ningekuwa basena ningekupa u kapteniilikua yondan na mgosi.sasa zamu ya okwi,simba mna kazi jamn . Nilishanga wakt natoka taifa mashabic wa simba walikua wanashangilia kipigo cha okwi! Badala ya kipigo cha yanga.
simba na yanga haziwezi kufungana bila ya kuwepo internal hujuma....inanikumbusha wafrika jinsi tusivyokufa kwa kifo cha Mungu...lazima kuna mkono wa mtu kwenye vifo vyetu...hawawezi kufungana bila wachezaji kununuliwa na tuhuma kede kede! funny us!!