bangi mbaya ndugu yangu.
Mbona hata mie hupendelea kuvaa sandals zozote zitazokuepo around ili kuepa longolongo za kuvua na kuvaa viatu. Ni mapenzi tu ya mtu.
BTW, there is only one Boban, Zvonimir Boban, left-footed na kiungo mpishi mahiri kabisa wa zamani wa Dinamo Zagreb, Milan 1899 na timu ya taifa Croatia, hao wengine wa kwenu ni wakuchonga tu si lolote si chochote...they don't worth the comparison.
Absolutely.
Boban ni mmoja tu, nae ni Zvonimir Boban aliyepata kukipiga Aszocione Calcio Milan ama AC Milan klabu yenye mafanikio zaidi hapa Ulimwenguni ambayo pia imechezewa na nyota wengi zaidi ya klabu yoyote hapa ulimwenguni...
Hao wengine ni ushuzi tu.
Forza Milan
salute G ChombaAbsolutely.
Boban ni mmoja tu, nae ni Zvonimir Boban aliyepata kukipiga Aszocione Calcio Milan ama AC Milan klabu yenye mafanikio zaidi hapa Ulimwenguni ambayo pia imechezewa na nyota wengi zaidi ya klabu yoyote hapa ulimwenguni...
Hao wengine ni ushuzi tu.
Forza Milan
salute G Chomba
Unanifurahisha sana na ile damu ya AC Milan... and you have been consistent
POle tu kwa last week kupoteza mechi but you are a good AC Milan Ambassador, anzisha fan club mkuu - kwa wabongo
Janjaweed ishu ni kuwa...
Inaaminika kuwa kila mpenzi wa Soka basi ni shabiki wa AC Milan...
Hili liko wazi.
Kwani tatizo hapo lipo wapi?
Boban wa pili kushoto.
Kiungo mshambuliaji wa timu ya Simba, Haruna Moshi ‘Boban' jana alikuwa kivutio kwa mashabiki, wasindikizaji na hata baadhi ya wasafiri waliomuona wakati wakiondoka kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam, kuelekea Sudan. Uvaaji wa Boban, ndio uliowavutia watu kumtizama, kutokana na kuvaa kama mtu asiyesafiri.
Boban alikuwa amevaa fulana, suruali ya kimichezo ‘trakisuti' na kandambili, hivyo kusababisha watu kuvutika kumuangalia, huku baadhi yao wakibaki kujiuliza kuhusu vituko vya nyota huyo ambaye mashabiki humuita Balotteli wa Bongo.