Boban atinga airport na kandambili

Simba bwana wanafurahisha sana,
Hivi punde tu wakichangia mada ya Yanga kubadili jezi walikuwa wanalalamikia waliyoiita logo ya Yanga "kandambili" kuwa haifai ksbb inajulikana ni usafiri wa kuingilia MALIWATO,haya hapa Star wao katinga Airport na usafiri huohuo wa MALIWATO wanauliza tatizo nini...wacha na mimi niulize tatizo la Cartoon ya utani ya Yanga kuwa kandambili liko wapi?
 
wewe utakuwa yanga wewe, hicho ni kizunguzungu cha bao 5 tu, na bado mkiendelea na majungu tukikutana next tm tunawatundika 10 kabisa, subirini muone..
 

wanaotaka yanga kubadili rangi ya jezi na mwonekano wa logo ni sisi WANAYANGA na sio simba ndugu,tatizo la yanga mnahusudu wazee ndo mana mabadiliko hayaji kwa speedy
 

Hawa wengine wenye VITAMBI nao ni wana ndinga?
 
Mi sioni Ubaya Boban kuvaa kandambili ili mradi ni kiungo mahiri, hata PEKU ningeona sawa tu
 
Mi sioni Ubaya Boban kuvaa kandambili ili mradi ni kiungo mahiri, hata PEKU ningeona sawa tu

Ningekuwa kwenye computer ningekupa bonge la LIKE.SIFA za Ukoloni mambo leo ndo kama hizi,hata dada zetu wakijifunga kanga kwenye ndege,ni bonge la story mtaani.
 
Nothing wl change haruna moshi ni kiungo bora na hapo alipo anatangazia biashara kandambili alizo vaa so hata mkilalama mwenzenu analipwa
 
Huoni? kwani pale ni chooni?

wenyewe wazungu waliogundua kandambili tunakutana nao mlimani city wakiwa wamezitinga,hata hivyo mbona wanawake wanakwenda shoping na sehem za kazi wakiwa wamevaa chachandu viunoni wakati wakati zipo kwa ajili ya kunogesha wakati wa tendo la ndoa
 
Hawa wengine wenye VITAMBI nao ni wana ndinga?

Ablood,
Hao wenye vitambi ni baadhi tu ya kundi linalotanua hapa Mjini kwa jasho la kina Okwi,huyo wa kushoto kabisa ndo anaitwa Godfrey Nyange Kaburu...by the way wana Simba embu tujuzane,huyu Jamaa hana shughuli nyingine za kufanya kuendeshea maisha yake? ni Simba tu?,mana'ke ingekuwa team nzima inaingia chooni kama mtu mmoja huyu Jamaa angekuwa anaingia nayo
 
angevaa MZUNGU ingeonekana kawaida ila kwa kuwa ni mweusi ishakuwa nongwa!ishi kwa uwezo wako na nafsi inavyopenda usiangalie wala kuiga yasiyokuwa na manufaa kwa watu wengine

Hahahaha kwa hiyo mzungu ndo nani bana
 

hahaa nakumbuka Zitto aliwasilisha bajeti ya wizara ya fedha kwa kutumia Ipad utayaona na mawaziri ya magamba yatakavyodesa safari hii
 
Mi mwenyewe namsapoti, eapoti kwenyewe wanawavua watu viatu na kuwatembeza peku. Sasa hapo usafi uko wapi!
 
Jamani kwa kweli kuvaa kandambili ukiwa nje ya nyumbani kwako si ustaarabu. Bora angevaa sandals za wanaume maana kandambili kwa kawaida ni ya kutumia ukiwa unaenda bafuni kwako
MImi huo ndio ushauri wangu mdogo tu
 


ndio ndala zinazo zungumziwa nini kwenye huu uzi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…