I just love her..Mungu amsaidie
Huyo demu umaarufu wake umetoka na na nini ?
Dah ina maana huyu binti nae alikua anakula madawa
then kazuri kweli haka kabinti kanakufa bado katoto
yani naumia km nnamfahamu vile
Sad indeed! May God see her through
i feel sory kwa kweli kabinti kazuri kweli
Kwakweli inauma sana basi tu!!
So sad indeed, yaani bado mdogo kweli.......naumia kila nikisikia au kusoma jina lake. May our good Lord see her thru this difficult time.
AMEN!God have mercy on this little kid,give her another chance to live...
Ooooh Lord have a mercy maana mhhhhh????
Acheni unafki munamuonea huruma huyo teja wakujitakia munashindwa kuwaonea huruma watoto hapa hapa nyumbani wanafuka kwa kukosa chakula... mamazetu wanakufa labour kwa kukosa huduma stahiki... wanafki wakubwa nyie
Acheni unafki munamuonea huruma huyo teja wakujitakia munashindwa kuwaonea huruma watoto hapa hapa nyumbani wanafuka kwa kukosa chakula... mamazetu wanakufa labour kwa kukosa huduma stahiki... wanafki wakubwa nyie
Acheni unafki munamuonea huruma huyo teja wakujitakia munashindwa kuwaonea huruma watoto hapa hapa nyumbani wanafuka kwa kukosa chakula... mamazetu wanakufa labour kwa kukosa huduma stahiki... wanafki wakubwa nyie
Acheni unafki munamuonea huruma huyo teja wakujitakia munashindwa kuwaonea huruma watoto hapa hapa nyumbani wanafuka kwa kukosa chakula... mamazetu wanakufa labour kwa kukosa huduma stahiki... wanafki wakubwa nyie