Bobby Brown na somo kwa wasanii wetu

Bobby Brown na somo kwa wasanii wetu

JOTO LA MOTO

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2018
Posts
758
Reaction score
555
Kuna wakati unakuwa so hot, lakini ni ngumu kubaki hot muda wote....kutoka ladie's man mpaka kuwa 'mounted by a ghost'.
 
Huwezi kuwa juu milele sema ameacha historia yake ambayo hata kijana wa sasa akifanya unasema huyu ni Bobby Brown akna Chris Brown au usher bado hawajafikia enzi za Bobby

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kujimaliza kwingine alijitakia mwenyewe.

Alipoingia kwenye drugs alipoteza pakubwa na ukijumlisha ishu yake na Witney Huston kwamba yeye ndiye alimuingiza Bi Dada kwenye drugs, Watu walimlaumu sana na akawa frastruated zaidi.

Ingawa ukweli haupingiki wa historia yake ya muziki tangu akiwa Bw mdogo, na wenzake wale wa New Edition.
 
Mbona Mtangazaji kama anamtaka huyo Dogo?
 
Pia kuna kitu 'Roni' alivyomchambua Mtoto Roni, utamuelewa Bobby.....Roni ni ngoma yangu namba mbili baada ya 'Dont't be cruel'
The truth about a Roni,
She's a sweet little girl,
If you treat her right,
Real nice and hold her tight.

Only tender Ronis,
Can give the special love,
A special kind of Love,
That makes you feel good inside.

If you believe in Love
And all that it can do for you,
Give it a chance, girl
You'll find romance.

And if you find a tender Roni
That is right for you,
Make it official,
Give her your Love.

My Heart belongs to a Roni..
She's my only Love
 
The truth about a Roni,
She's a sweet little girl,
If you treat her right,
Real nice and hold her tight.

Only tender Ronis,
Can give the special love,
A special kind of Love,
That makes you feel good inside.

If you believe in Love
And all that it can do for you,
Give it a chance, girl
You'll find romance.

And if you find a tender Roni
That is right for you,
Make it official,
Give her your Love.

My Heart belongs to a Roni..
She's my only Love
Na huwa sijamuelewa kwa nini anasema 'a Roni'

Labda ni katika kutafuta mrindimo (melody)
 
Na huwa sijamuelewa kwa nini anasema 'a Roni'

Labda ni katika kutafuta mrindimo (melody)
Hiyo Roni ilitokana na msemo Tenderoni. Yaani mtoto mbichiii, mzuri,, laini, mrembo na mwenye madaha hatari.
Kwa hiyo Bobby alifupisha kusema Roni ili kubamba kimrindimo.
 
Hiyo Roni ilitokana na msemo Tenderoni. Yaani mtoto mbichiii, mzuri,, laini, mrembo na mwenye madaha hatari.
Kwa hiyo Bobby alifupisha kusema Roni ili kubamba kimrindimo.
Sawa, ila ikishakuwa jina huwezi kutanguliza 'a' , kwa sababu si anamuimbia Mtoto mzuri wa kuitwa Roni?
 
Back
Top Bottom