Bobby Wine atajwa kuwa miongoni mwa binadamu mia wenye ushawishi zaidi ulimwenguni

Bobby Wine atajwa kuwa miongoni mwa binadamu mia wenye ushawishi zaidi ulimwenguni

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Amani iwe nanyi wakuu,

Msanii na Mwanasiasa wa Uganda Bobby Wine ametajwa na jarida la Forbes kuwa ni binadamu mwenye ushawishi zaidi duniani, hasa hasa kwenye muziki na siasa.

Majuzi Msanii huyo alitangaza nia ya kugombea urais huko Uganda. Kila la kheri Bobby Wine. Sisi wanasiasa wetu huku Tanzania wanafikwa bei kama mafungu ya dagaa. Wakitishwa tu kidogo wanaogopa wanakumbuka V8 zao walizopaki kwenye mageti yao makubwa.

LONDON BOY
 
Huyo bishoo mvaa surual za kubana ataweza kwenda mstuni na kuacha bia kwenye frij?

Msitu ilimshinda josep konyi sioni wa kumteteresha museven tena
Wanampamba bila kujua uhalisia ndani ya Uganda ukweli ni kwamba bado mseveni hawezi kuondoka kwa box la kura labda Bobby Wine aende msituni.
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Anaushawishi huko huko Uganda, hapa Tz tu hafahamiki sana sembuse duniani?
 
Huyo bishoo mvaa surual za kubana ataweza kwenda mstuni na kuacha bia kwenye frij?

Msitu ilimshinda josep konyi sioni wa kumteteresha museven tena
Unamfahamu thomas sankara ?
Unamfahamu valentino stresser ?
Emmanuel macron ?
Hao wote walikua marais katika umri wa ujana na walikuwa hawavai mabwanga
 
Back
Top Bottom