Wanampamba bila kujua uhalisia ndani ya Uganda ukweli ni kwamba bado mseveni hawezi kuondoka kwa box la kura labda Bobby Wine aende msituni.
Maana yake Uganda is watched now. Mabeberu karibu watamuinua Museveni.
Unamfahamu thomas sankara ?Huyo bishoo mvaa surual za kubana ataweza kwenda mstuni na kuacha bia kwenye frij?
Msitu ilimshinda josep konyi sioni wa kumteteresha museven tena