beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Mgombea Urais wa Uganda kupitia NUP, Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) amesema kinachompa imani kuwa wanaweza kuushinda udikteka ni historia ya Vijana kuwa chachu ya mabadiliko barani Afrika.
Katika mahojiano yake na Kituo cha CNN, ameeleza anawakilisha kundi la Vijana ambao wanataka mabadiliko, hivyo ni imani yake kuwa wakisimamia Sheria na kujitokeza kwa wingi kupiga kura wanaweza kufanikiwa kumshinda Rais Yoweri Museveni.
Mgombea huyo anasema anamalizika nguo maalum ya kuzuia risasi ili afanye kampeni na anafahamu Uchaguzi Mkuu wa Januari 2021 hautakuwa huru na wa haki.
Katika mahojiano yake na Kituo cha CNN, ameeleza anawakilisha kundi la Vijana ambao wanataka mabadiliko, hivyo ni imani yake kuwa wakisimamia Sheria na kujitokeza kwa wingi kupiga kura wanaweza kufanikiwa kumshinda Rais Yoweri Museveni.
Mgombea huyo anasema anamalizika nguo maalum ya kuzuia risasi ili afanye kampeni na anafahamu Uchaguzi Mkuu wa Januari 2021 hautakuwa huru na wa haki.