Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,046
- 3,971
Mbunge ambaye aliwahi kuwa mwanamuziki nchini Uganda Robert Kyagulanyi jina maarufu Bobi Wine leo anatarajiwa kufikishwa katika mahakama ya kijeshi mjini Gulu kaskazini mwa Uganda.
Taarifa hiyo imewashtua mawakili wake ambao awali waliambiwa kuwa kesi itasikilizwa katika kambi ya kijeshi ya Makindye anakoshikiliwa mjini Kampala.
Wakati huo huo Mtandao wa haki za binadamu za waandishi wa habari nchini Uganda umetoa saa 48 kwa jeshi kuwatambulisha askari wake waliowajumu waandishi wa habari.
Bobi Wine amewaajiri mawakili kutoka Marekani kumwakilisha kwenye kesi.
Kwa upande mwingine, Wanamuziki wakubwa wakiwemo Chris Martin , Angelique Kidjo na Damon Albarn, wametoa waraka wa kuachiwa kwa Mbunge huyo.
Mbunge huyo ameshatimiza wiki moja tangu kukamatwa kwake na akiwa na mbunge mwezake na zaidi ya watu 30.
Wakili wa Bobi Wine anasema kuwa mteja wake ameteswa sana na jeshi, lakini jeshi kwa upande wao wanakataa kumtesa.
Anatarijiwa kufikishwa mahakamani juu ya madai ya kumiliki silaha kinyume na sheria.
Waraka huo umeanzishwa na Rikki stain aliyekua msimamizi wa zamani wa mawamuziki fella Kuti ambaye alikua mkosoaji mkubwa wa Serikali ya Nigeria
Sent using Jamii Forums mobile app
Taarifa hiyo imewashtua mawakili wake ambao awali waliambiwa kuwa kesi itasikilizwa katika kambi ya kijeshi ya Makindye anakoshikiliwa mjini Kampala.
Wakati huo huo Mtandao wa haki za binadamu za waandishi wa habari nchini Uganda umetoa saa 48 kwa jeshi kuwatambulisha askari wake waliowajumu waandishi wa habari.
Bobi Wine amewaajiri mawakili kutoka Marekani kumwakilisha kwenye kesi.
Kwa upande mwingine, Wanamuziki wakubwa wakiwemo Chris Martin , Angelique Kidjo na Damon Albarn, wametoa waraka wa kuachiwa kwa Mbunge huyo.
Mbunge huyo ameshatimiza wiki moja tangu kukamatwa kwake na akiwa na mbunge mwezake na zaidi ya watu 30.
Wakili wa Bobi Wine anasema kuwa mteja wake ameteswa sana na jeshi, lakini jeshi kwa upande wao wanakataa kumtesa.
Anatarijiwa kufikishwa mahakamani juu ya madai ya kumiliki silaha kinyume na sheria.
Waraka huo umeanzishwa na Rikki stain aliyekua msimamizi wa zamani wa mawamuziki fella Kuti ambaye alikua mkosoaji mkubwa wa Serikali ya Nigeria
Sent using Jamii Forums mobile app