Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
Inategemea na katibaAlishangaza sana watu, huku tunasema CCM ni chama dola ila NRM ni zaidi ya chama dola. Yaani mtu ni Generali kabisa wa jeshi ila anavaa T shirt za chama tawala na anapiga kampeni jukwaani.
Huko M7 ataondoka siku wananchi wakiingia barabarani ila hizi kura ni kujidanganya tu.
Wafuasi wa Lissu mnajipa matumaini Kama October 28.Museveni kwisha habari yake
Kwamba sasa hivi Amstwerdwam ana masela wawili wa kumhudumiaKwamba Bob Wine ni chumia tumbo kama Tundu Lisu?
Bado mnaweweseka na Lissu wewe Chadema. Mlibwawaja wee na huyo mbelgiji Sasa mmehamia kwa bobi wine.Nilisikia kampeni zimesimamishwa Uganda kwenye miji mikubwa eti sababu ya Corona, Museveni anatetemeka sana, huyo Bobi anaenda kuchukua ile nchi hatanii, labda polisi ndio wamuokoe Museveni.
Tunahitaji rais aliyetulizana na familia yake ikulu!! Zamani ningewaelewa kidogo lakini siku hizi teknolojia hatuhitaji kuwa na loopholes za ku- breach our "whitehouse security firewall"!Hivi urais ni wa familia au muhusika? Watotowake ndio watakuwa mawaziri au? Presidency is about yeye. Sio familia yake.
Sasa unachobisha wewe ni kipi?Wewe ni mtu umeenda shule kabisa babako akalipa ada kabisa n akajiridhisha pesa yake haikupotea kabisa. Yani m7 ampe mwanae kuongoza nchi? Uganda hakuna wengine zaidi ya mwanae. Mtu kakaa madarakani toka 1986 leo amwachie mwanae nae apige mpaka 2090 huko au [emoji23][emoji23][emoji23]
Mawili either Rudi shule au kadai ada yako. ni akili za punguani tu anayeweza kufikiria hili.
Rejea post namba 150 ya uzi huu.Mazingira ya kupata urais huku familia ya mgombea upinzani ikiendelea kuishi maisha ya kawaida yaliishia utawala wa JK. Baada ya hapo hatuna tofauti na Uganda au Rwanda.
Nani anakuweka ikulu wake u-udhaifu? Hata hivyo rejea post namba 150 ya uzi huu.Una elimu gani wee mataga mtu familia imekoswa koswa bomu afu utaki achukue tahadhari akiwa raisi si atakua ikulu ana ulinzi so familia itakuja,,
Hahahaaaa......!Kwamba sasa hivi Amstwerdwam ana masela wawili wa kumhudumia
Lissu alipokea tu simu? Ukiwa mjinga jitahidi usifikie upumbavu.Hayo ya kurushiwa bomu (kopo) chumbani kwake kayasema yeye sawa tu na yale aliyosema Tundu Lissu ya kupokea simu kutoka kwa asiyejulikana akimtishia kuondoa uhai wake!
Pumba tupu wapigania uhuru wengi wa kusini mwa Africa walipewa hifadhi morogoro na sehem zingine kwann waliongoza mapigano huku familia zao zikiwa nje ya nchi zao jiulize kwanza afu uone utopolo uliopostTunahitaji rais aliyetulizana na familia yake ikulu!! Zamani ningewaelewa kidogo lakini siku hizi teknolojia hatuhitaji kuwa na loopholes za ku- breach our "whitehouse security firewall"!
Pili, kuficha familia yake nje inatengeneza mazingira hatarisha ya rais wa nchi kuwa blackmailed. Sasa rais amekuwa blackmailed kuna nchi hapo!?
Tatu, kuficha familia ng'ambo huku unasema ni rais wa nchi, ni ishara kubwa sana kuwa ama wewe ni very weak na upo kwenye nafasi hiyo kwa nguvu za walioifadhi familia yako, ama hiyo nchi ni very fragile katika kila eneo hasa la ulinzi na usalama pamoja na jamii kwa ujumla.
Kwa hiyo raia wanaokubali kumuweka madarakani rais ambaye ameficha familia yake ughaibuni, hao watakuwa wanakubali mapungufu matatu niliyoeleza! Na kukubali mapungufu hayo, wakati nchi yenu hako katika hali hiyo ni uwendawazimu!!
Lisu alitaka kulala barabarani aliposimamishwa na polisi wakati anaenda sokoni kuke bagamoyo, tena alipiga mkwara wa nguvu akisema tutalala hapa kama kutuua na watuue.Lissu alipokea tu simu? Ukiwa mjinga jitahidi usifikie upumbavu.
Soma maelezo yangu juu hapo utanielewa. Nikuulize una uhakika gani m7 hakuvuta bangi msituni 1980s?Sasa kwa akili zako za ufipa unadhami huyu mvuta bang anaweza kuwa rais wa Uganda
Atakuwa anawapeleka wapi? Ubelgiji pia? Atakuwa Kama wale wengine.
Baada ya kuchukua fomu ya kugombea Urais. Kulikuwa na vurugu nyingi mtaani kwake. Watu walikua wanashangilia. Mabomu yalirushwa ndani ya fensi ya nyumba.Kwahiyo walitumia Stun Grenade kwa lengo gani?
Ni nani atawaokoa watoto wa wafuasi wake?tafakari
Sijui unaulizia nn? Nimesema yote hapo juu. Sasa kwa taarifa yako huyo bobi mnayemuona kichaa mvuta bangi ana support kubwa sana. Tena nyingine ni fiche ndani ya buganda kingdom subiri kiwake uone kabaka atakaposema neno mitaani kutakuwaje? M7 pamoja na yote anaheshimu n kumlinda sana kabaka yule jamaa akisema neno dk.0 uganda haitawaliki.Sasa unachobisha wewe ni kipi?
Kwa nini isiwe Bobi wine?Najua Waganda wamemchoka Babu Mu 7, lakini kuongozwa na Bobi wine nisingewashauri.