S sido9797 Senior Member Joined Aug 15, 2018 Posts 160 Reaction score 84 Aug 3, 2019 #1 Mwanaharakati wa Uganda maarufu kama Bobi wine(#Powerpeople)amepatwa na pigo kali baada ya comrade mwenzake Ziggy wine kutekwa kwa siku tatu na kupewa kipigo kizito kilichopelea kuwa mahututi. Amenyofolewa jicho na kukatwa vidole viwili.
Mwanaharakati wa Uganda maarufu kama Bobi wine(#Powerpeople)amepatwa na pigo kali baada ya comrade mwenzake Ziggy wine kutekwa kwa siku tatu na kupewa kipigo kizito kilichopelea kuwa mahututi. Amenyofolewa jicho na kukatwa vidole viwili.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Aug 4, 2019 #2 Dah! Inasikitisha sana... Cc: mahondaw
BAK JF-Expert Member Joined Feb 11, 2007 Posts 124,790 Reaction score 288,165 Aug 4, 2019 #3 Duh! Yote haya ni kung’ang’ania madaraka tu! Ndiyo mambo ya nduli na dikteta wa chato hayo.
MAPITO Mwanza JF-Expert Member Joined Aug 21, 2018 Posts 4,236 Reaction score 5,907 Aug 5, 2019 #4 kwa mjibu wa eatv saa 1 amefariki dunia RIP comredi