Bobi wine: Rafiki wa mwanaharati atekwa na kunyofolewa macho

sido9797

Senior Member
Joined
Aug 15, 2018
Posts
160
Reaction score
84
Mwanaharakati wa Uganda maarufu kama Bobi wine(#Powerpeople)amepatwa na pigo kali baada ya comrade mwenzake Ziggy wine kutekwa kwa siku tatu na kupewa kipigo kizito kilichopelea kuwa mahututi.

Amenyofolewa jicho na kukatwa vidole viwili.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…