Katiba ya wananchi mchakato wake una anzia kwa wananchi... katiba ya wanasiasa mchakato wake uanzia kwa wanasiasa na kupewa majina yao kama katiba ya warioba, au tume ya Nyalali nk.
Hivyo hii/mchakato huu sio wa wananchi, ila wananchi wana pakaziwa shombo waonekane wamekula na kushiba wakati sio kweli... wajinga wali wao...