Viko vitengo vingi dogo vitengo maalum kwa shughuli za maslahi ya taifa.Unaposema na sisi tutamsaidia una maana gani? Sisi meaning jeshi la Tanzania? Kuna justification gani kwa sisi kwenda kupigana Uganda kwa mara ya pili ili hali Waganda wenyewe wanaweza kumuondoa nduli wao!!! Tulipigana mara ya kwanza kuwakomboa kwasababu Amin alivamia nchini mwetu!!!This time aound hatuna nia wala sababu kwa vijana wetu kwenda huko.
Hii sio full story ni sawasawa usome gazeri la Uhuru lakini ujikite kwenye matangazo ya vifo tanzia.Umesema historia ya Uganda kwa kumuita Mseven "guerrilla fighter"! Ebu soma hapa chini kidogo[emoji116] View attachment 867067
Tutamsaidia kwa kuwa ni mwenzetu kwanza kapitishia bomba la mafuta kwetu. Pia kama hujui hata sasa hivi askari wetu wapo wengi tu wanafanya kazi kwenye jeshi lake.Unaposema na sisi tutamsaidia una maana gani? Sisi meaning jeshi la Tanzania? Kuna justification gani kwa sisi kwenda kupigana Uganda kwa mara ya pili ili hali Waganda wenyewe wanaweza kumuondoa nduli wao!!! Tulipigana mara ya kwanza kuwakomboa kwasababu Amin alivamia nchini mwetu!!!This time aound hatuna nia wala sababu kwa vijana wetu kwenda huko.
Mbowe Coward wa kiwango cha standard gargeTunahitaji kyagulani ssentamu wa Tanzania asiyeogopa kuinua watu kudai haki zao kama mbowe.
kwenye jeshi lake.
Bobi wine kama ana akili akae na museveni achukue cheki la sivyo atauwawa.
Angalia hiyo video kama nilivyosema jana huyu dogo akubali kukaa na Mzee avute cheki yake.Yeye mseven mbona hakuchukua cheki kipindi akiwa guerrilla fighter?
Viko vitengo vingi dogo vitengo maalum kwa shughuli za maslahi ya taifa.
Majeshi ya museveni yalikyiko somalia ameanza kuyarudisha battle hardened soldiers. Hakuna cha jabuanyi wala boby wine,halafu na sisi tutamsaidia na wanyarwanda hawatabaki nyuma.
Ndo tatizo letu waafrika wa kizazi hiki kufikiria "kuvuta cheki" kwa maslahi ya matumbo yetu, kama wazee wetu wangevuta cheki tungekuwa bado tuko kwenye mikono ya mabeberu, kina Mandela hawakushindwa kufanya vile ili washibe wao ila lengo lao lilikuwa kwa maslahi ya taifa/jamii, tofauti na kinachotokea hata hapa nchini, mtu hajali wananchi waliojipanga juani kwenda kumpigia kura ili awe mwakilishi wao kwa kumwamini kabisa, from nowhere mtu anakwambia nimeona niunge juhudi "za mtu mmoja" badala ya maelfu waliomchagua, kizazi hiki kimelaaniwa kwa kuendekeza njaa, naona na wewe unaunga mkono kwamba Bobi Wine apewe cheki na aunge mkono juhudi za Mseveni kuwakandamiza waganda, Afrika Mashariki tumeingia kwa haraka katika utumwa wa nafsi, "mental enslavement. Ngoja tutengeneze historia kwamba kuliwahi kuwa na kipindi cha kuunga mkono, tumuombe Bobi asiwe "Waitara, Mtatiro, Mtulia au Karanga" wa waganda, sijataja madiwaniAngalia hiyo video kama nilivyosema jana huyu dogo akubali kukaa na Mzee avute cheki yake.
Ndo tatizo letu waafrika wa kizazi hiki kufikiria "kuvuta cheki" kwa maslahi ya matumbo yetu, kama wazee wetu wangevuta cheki tungekuwa bado tuko kwenye mikono ya mabeberu, kina Mandela hawakushindwa kufanya vile ili washibe wao ila lengo lao lilikuwa kwa maslahi ya taifa/jamii, tofauti na kinachotokea hata hapa nchini, mtu hajali wananchi waliojipanga juani kwenda kumpigia kura ili awe mwakilishi wao kwa kumwamini kabisa, from nowhere mtu anakwambia nimeona niunge juhudi "za mtu mmoja" badala ya maelfu waliomchagua, kizazi hiki kimelaaniwa kwa kuendekeza njaa, naona na wewe unaunga mkono kwamba Bobi Wine apewe cheki na aunge mkono juhudi za Mseveni kuwakandamiza waganda, Afrika Mashariki tumeingia kwa haraka katika utumwa wa nafsi, "mental enslavement. Ngoja tutengeneze historia kwamba kuliwahi kuwa na kipindi cha kuunga mkono, tumuombe Bobi asiwe "Waitara, Mtatiro, Mtulia au Karanga" wa waganda, sijataja madiwani
Mbowe ni coward kiwango cha dreamlinerMbowe Coward wa kiwango cha standard garge
Katika jarida la forbes Mbowe ndie mpinzani aliyeficha fedha nyingi nje ya nchi fedha ambazo ni za Ruzuku kuliko Etienne Tshisekedi wa Kongo rip combined.Mbowe ni coward kiwango cha dreamliner
Naomba chanzo cha data zako tafadhali.Katika jarida la forbes Mbowe ndie mpinzani aliyeficha fedha nyingi nje ya nchi fedha ambazo ni za Ruzuku kuliko Etienne Tshisekedi wa Kongo rip combined.
Forbes 1999Naomba chanzo cha data zako tafadhali.
Lumumba akili zenu zote zipo kwenye pesa, pambafuBobi wine kama ana akili akae na museveni achukue cheki la sivyo atauwawa.
Zenu ziko kinyeoni.Lumumba akili zenu zote zipo kwenye pesa, pambafu
OkForbes 1999
Sifahamu sana ukweli kuhusu siasa za UG na ukweli au uhalisia kuhusu tabia ya mseveni. Ila Aliyekuambia wauaji wakitoa cheki wanaghairi kuua ni nani? Kama unaamini atauwawa basi mshauri afe huku anapigana si ahongwe halafu ndo afe. Tena kufa huku hakuna public attention ts much more easy than vice versa.Bobi wine kama ana akili akae na museveni achukue cheki la sivyo atauwawa.