Simba ikishindwa kupata matokeo uwanjani bila sababu yeyote utasikia shabiki anaanza kuwalaumu Mara Bocco Mara Mzamiru,nyoni na Onyango.
Kwa siku za nyuma ilikua Wawa pia.
Siku za hivi karibuni kaongezeka Mkude na kapombe hata wasipocheza watalaumiwa tu..hili ni kwanini??
Je suluhisho la matatizo ya timu zetu ni usajili tu?
We hukuona utumbo wao jana, nyoni akipewa mpira anarudisha kwa manula au onyango, huyo mzamiru tunayemsifia anacheza kiungo cha peke yake duniani, eti kiungo punda