Ni kwa uhakika uliowazi kuwa kwa sasa Bodaboda waliowengi wanatembeza piki piki zao kinyume na sheria za usalama barabarani. Wengi wao hawana leseni Na mbaya zaidi hawana hata third party insurance. Kwa mtazamo wa juu juu nafikiri huu ndio usafari unaotumiwa Na wasafiri wengi, iwe mijini au vijijini.
Kwa hiyo niseme ni hatari na ni kuweka rehani maisha ya wasafiri wanaotumia usafari huu kwa kutumia madreva wasio na ujuzi (leseni). Hawajadhibitishwa Na mamlaka za utoaji Wa leseni za vyombo vya usafiri. Kijana akishajua kuwasha piki piki basi anaingia barabarani kubeba abiri.
Mbaya ya yote piki piki haijakatiwa bima ya third party insurance. Maana yake hata akipata ajari, yeye pamoja Na abiria wake hawa kinga ya bima. Hakuna compensation yoyote.
Huko nyuma siasa ziliingilia kati, wanasiasa kwa sababu ya kutafuta wapiga kura wakazuia polisi Wa traffic kusimamisha hawa vijana. Hivyo wako huru barabarani, bila leseni, bila bima, wanakimbia bila kujali speed limit, wanabeba misikaki.
Hii ni hatari kwa abiria, ni hatari vijana hawa, hata Ni hatari kwa watembea kwa miguu kugongwa bila malipo! We need to do something!
Najua humu kuna wasomaji ambao Ni waendesha Boda Boda, wayapinga. Lakini ukweli ndio ulivyo.
Tujadiri kwa faida yetu sote.
Kwa hiyo niseme ni hatari na ni kuweka rehani maisha ya wasafiri wanaotumia usafari huu kwa kutumia madreva wasio na ujuzi (leseni). Hawajadhibitishwa Na mamlaka za utoaji Wa leseni za vyombo vya usafiri. Kijana akishajua kuwasha piki piki basi anaingia barabarani kubeba abiri.
Mbaya ya yote piki piki haijakatiwa bima ya third party insurance. Maana yake hata akipata ajari, yeye pamoja Na abiria wake hawa kinga ya bima. Hakuna compensation yoyote.
Huko nyuma siasa ziliingilia kati, wanasiasa kwa sababu ya kutafuta wapiga kura wakazuia polisi Wa traffic kusimamisha hawa vijana. Hivyo wako huru barabarani, bila leseni, bila bima, wanakimbia bila kujali speed limit, wanabeba misikaki.
Hii ni hatari kwa abiria, ni hatari vijana hawa, hata Ni hatari kwa watembea kwa miguu kugongwa bila malipo! We need to do something!
Najua humu kuna wasomaji ambao Ni waendesha Boda Boda, wayapinga. Lakini ukweli ndio ulivyo.
Tujadiri kwa faida yetu sote.