Boda Boda - SUNLAG


Mkuu, Dawa ya TRA ni kuunda Kampuni,then unasajili ulipaji kodi kupitia kampuni,so mwisho wa mwaka unapeleka kodi kulingana na matumizi yako na uendeshaji wa biashara yako.
kimsingi,unakata matumizi yako yote kupitia kampuni,e.g kodi yako ya nyumba (ukiwa kama chairman kwa kampuni)allowance nyinginezo,gharama za vipuri ,etc.kinachobaki ktk kipato ndo unapeleka kodi TRA so sometime unaweza kushtukia kodi halali haizidi laki na nusu.

ndo wahindi na wafanyabiashara wakubwa wanavyofanya.TRA hawajui na hawana mbinu za kukusanya kodi zaidi ya kuwabana wafanyabiashara wadogo wasio na kampuni za LTD,
kimsingi wanapata kodi kulingana na ignorance ya wafanyabiashara wengi wa TZ
 
usilolijua kweli kiza kinene.... kumbe janja za ponjoroz ndo hiziiii.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…