Boda ya Tunduma ipo busy kuliko boda zote Afrika Mashariki

Orketeemi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,063
Reaction score
12,866
"70% ya mzigo unaoshuka bandari ya Dar-es-Salaam kwenda nchi za jirani unatoka Tanzania kupitia Boda ya Tunduma. Ile ndio boda ambayo iko bize kuliko boda zote Afrika Mashariki hivyo hii tayari ni fursa kwa mwekezaji" - @Davidkafulila0 Mkurugenzi wa kituo cha ubia kati ya sekta ya umma na sekta binafsi (PPPC) @pppcentretanzania

#LiveOnClouds360
#CloudsTvNiMkataba


My take. Inakuaje barabara TANZAM haipewi kipaumbele sawasawa na umuhim wake?

Kwa nn reli ya TAZARA haipewi kipaumbele sawasawa na umuhim wake?
 
Barabara njia nne ni muhimu sana kwa sasa ....Kibaha hadi Tunduma...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…