Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
Bodaboda kahojiwa East Africa Radio kasema anaingiza laki 9 kwa mwezi.
Hivyo anashauri msichague kazi.
Ahaaa haaaa
Hivyo anashauri msichague kazi.
Ahaaa haaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwasasa pesa ipo kwenye usafirishajiBajaj ndio kabisaa ukiwa nayo ya kwako kupata 80,000 kwa siku jambo la kawaida sana hapa Dar. Ukichanganya Bolt, Uber na ukachagua route yako. Na ukaamka saa 10 kisha unalala saa tano.
Ahaa haaa, wale wanaosema nina boda boda wanguBoda inalipa
Kulaza 30 Kwa siku ni laZima
Kuna abiria wa simu hao ni unawapeleka asbh na jioni unawarudia
Kuna wanaokuja kijiweni
Boda inalipa sana
Watu hawajastuka tu
Jamàa mleta mada anashanga boda kupata laki Tisa Kwa mwezi ingali n Hela anayoweza pata boda na tayari kashatoa matumizi yake yt ..anachukulia kazi za watu rahisi sanaaKwasasa pesa ipo kwenye usafirishaji
Hilo ni basic need Kwa Sasa watu laZima wasafiri
Ofisa Msafirishaji salamu kwakoJamàa mleta mada anashanga boda kupata laki Tisa Kwa mwezi ingali n Hela anayoweza pata boda na tayari kashatoa matumizi yake yt ..anachukulia kazi za watu rahisi sanaa
Mpaka hapo hii sio kazi ni mateso labda uwe unatoa day worker jioniBajaj ndio kabisaa ukiwa nayo ya kwako kupata 80,000 kwa siku jambo la kawaida sana hapa Dar. Ukichanganya Bolt, Uber na ukachagua route yako. Na ukaamka saa 10 kisha unalala saa tano.
Kazi ya kufanya masaa zaidi ya 12. Hata nguvu za kiume hazita kuwepoMpaka hapo hii sio kazi ni mateso labda uwe unatoa day worker
Wala c kazi yangu mkuu ila nina Wana ambao n boda boda tu naona maendeleo Yao kupitia hyo kaziOfisa Msafirishaji salamu kwako
Sasa sawa mkuu wenye kufanya kwa malengo kwa miaka 3 hadi 5 sio mbaya.Wala c kazi yangu mkuu ila nina Wana ambao n boda boda tu naona maendeleo Yao kupitia hyo kazi
Kabisa boda inalipa ila sasa ndio usiwe mzee wa kyupiz.....maana hela yangu yote inaishia kuwala wadada na kibamia changuBoda inalipa
Kulaza 30 Kwa siku ni laZima
Kuna abiria wa simu hao ni unawapeleka asbh na jioni unawarudia
Kuna wanaokuja kijiweni
Boda inalipa sana
Watu hawajastuka tu
Kwangu mimi sio mateso, niko nateseka kwenye biashara ambayo mtaji ni mkubwa na nagawana faida na watu kibao mara serikali, mtaa, mwenye nyumba, mfanyakazi, mlinzi, mfanya usafi, fundi, bodaboda wa delivery. Alafu ina low season ya miezi kama minne kwa mwaka, bajaj sijaona kama ina low season.Mpaka hapo hii sio kazi ni mateso labda uwe unatoa day worker jioni