Bodaboda matatani

KIPANYA

Member
Joined
Jan 3, 2011
Posts
61
Reaction score
2
Mi nashangaa hawa viongozi sijui vipi jamani? eti ikitokea ajari tu ndo wanaanza kusema tunakagua leseni za wendesha pikipiki, inamaana muda wote hawajui kuwa wanawajibu huo?
 
Tuseme ukweli kila siku watanzania si chini ya watatu wanafariki kutokana na ajali na wizi wa pikipiki!swali sheria inaruhusu gari ya miguu 2 kubeba abiria?
 
ok naona maada inachanganya
kulingana na hali halisi ya nchi yetu then tunahitaji bodaboda
 
Mi nashangaa hawa viongozi sijui vipi jamani? eti ikitokea ajari tu ndo wanaanza kusema tunakagua leseni za wendesha pikipiki, inamaana muda wote hawajui kuwa wanawajibu huo?
funika kombe mwanaharamu aipte 🙂
 
kwa pikipiki hizi za kichina tujiandae kuwa na walemavu wa miguu na wategemezi wa kutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…