godson njamakuya
Senior Member
- Mar 6, 2021
- 170
- 196
Polisi wa Usalama barabarani inabidi wafuatilie ili kubaini ni kwanini pikipiki nyingi za Kibaha hazina Side mirror.
Utafiti mdogo nilioufanya baada ya kuwahoji baadhi ya madereva wa bodaboda walieleza kwamba wengi wameondoa vioo hivyo kwa madai kwamba, magari yanapokuwa kwenye foleni na wao wanapojaribu kupenya penya, side mirror za pikipiki zao hukwangua rangi kwenye magari ya watu na kusababisha kulipishwa fedha kutokana na uharibifu huo.
Ni sababu ambazo hazina uzito kama usalama wa maisha yao na abiria wao.
Utafiti mdogo nilioufanya baada ya kuwahoji baadhi ya madereva wa bodaboda walieleza kwamba wengi wameondoa vioo hivyo kwa madai kwamba, magari yanapokuwa kwenye foleni na wao wanapojaribu kupenya penya, side mirror za pikipiki zao hukwangua rangi kwenye magari ya watu na kusababisha kulipishwa fedha kutokana na uharibifu huo.
Ni sababu ambazo hazina uzito kama usalama wa maisha yao na abiria wao.