Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kuna dogo ni jirani yetu kijijini, nimempita kama miaka 12-15 Nilimwona miaka 5 imepita Kariakoo akifanya kazi kwa Wahindi na juzi nimemwona Kazini analeta bahasha akiwa na boda. Anasema aliacha kazi kwa Wahindi na kujiingiza kwenye ubodaboda.
Kijana kazeeka ghafla utadhani kanizidi umri. Kuna mwingine ni mdogo wangu one father, nimemwacha 2 yrs lakini unaweza kusema Mimi ni mdogo wake. Hii kazi ngumu sana, nahisi jua linawapausha mwili.
Bado nalia na Serikali, Serikali ijenge viwanda vingi vijana wapate ajira za kudumu huko viwandani. Bodaboda inaleta misiba na walemavu katika familia za maskini. Vijana wengi siku hivi wanakatwa miguu tu na kuwa mizigo kwa ndugu.
Pia soma=> Ukweli usemwe vijana wapone, bodaboda si ajira ni mtego
Kijana kazeeka ghafla utadhani kanizidi umri. Kuna mwingine ni mdogo wangu one father, nimemwacha 2 yrs lakini unaweza kusema Mimi ni mdogo wake. Hii kazi ngumu sana, nahisi jua linawapausha mwili.
Bado nalia na Serikali, Serikali ijenge viwanda vingi vijana wapate ajira za kudumu huko viwandani. Bodaboda inaleta misiba na walemavu katika familia za maskini. Vijana wengi siku hivi wanakatwa miguu tu na kuwa mizigo kwa ndugu.
Pia soma=> Ukweli usemwe vijana wapone, bodaboda si ajira ni mtego