BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,950
- 11,295
Salamu,
Nimepata taarifa mbaya hapo makondeko Moshi, mzee mmoja kafariki na dereva hoi.
Pia soma: Tatizo kubwa la ajali za barabarani zinazohusisha pikipiki(boda) katika jiji la Dar es Salaam
Mimi nawashauri hawa madereva wawe makini hasa kwenye highway. Nasikia ukienda hapo KCMC kuna word inaitwa Tonda.
Nimepata taarifa mbaya hapo makondeko Moshi, mzee mmoja kafariki na dereva hoi.
Pia soma: Tatizo kubwa la ajali za barabarani zinazohusisha pikipiki(boda) katika jiji la Dar es Salaam
Mimi nawashauri hawa madereva wawe makini hasa kwenye highway. Nasikia ukienda hapo KCMC kuna word inaitwa Tonda.