Bodi ya mikopo imechekesha mwaka huu,,ukimaliza miaka mitatu iliopita ni moja ya kigezo cha kukunyima mkopo.hivi wanajua ni kwa nin mwanafunzi aliyehitimu kidato cha sita alikaa muda huo bila kuomba chuo?bodi wanajifanya awajui matatizo ya watanzania?watu wengi tumemaliza kidato cha sita,tulikosa ata fedha ya kuombea tcu na bodi!ikatulanzimu tukae kwanza mitaani,huku tukijishughulisha na shughuli za kulima nyanya,tuweze kupata fedha kwa ajili ya kuombea tcu na bodi!sasa cha ajabu tumejipinda kutafuta ela ya application,,,wao wanaleta sheria mpya,,,''You were not allocated higher education loan for 2013/14 academic year for this reason:NOT ELIGIBLE FOR LOAN, COMPLETED FORM SIX/DIPLOMA MORE THAN THREE YEARS BACK''.Hivi hii sababu ya kutoa mtu msomi kweli,kumnyima mwanafunzi wa kitanzania mkopo!mkurugenzi mtendaji wa bodi ya mikopo,,,raisi kikwete tunaomba muondoe kwa kweli,,,maana watoto wa masikini elimu ya juu ni ndoto,,,kachemshaaaaaaaaaa,,,mtu akikaa muda mrefu nyumbani ajaomba chuo,maana yake ela ya kuombea hana!sasa unamnyimaje mkopo?hawa jamaa wanaakili kweli?aisee vijana tutaichukia nchi yetu sababu ya wajinga kama hawa,,,,