Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
BODI hii imejaa wahuni sana sana sijui tunaelekea wapi. Hawa jamaa ukisoma barua zao wanasema wamehairisha kwa sababu ya uchunguzi.
Hapohapo wanasema watatangaza siku nyingine ya marudiano.
Kama mmeshaamua kurudiwa unachunguza nini? huu ni ushenzi na uhuni si mngesema tu tumehairisha kwaajili ya simba.
Shame on you Kassongo.
Shame kwa BODI yako.
Shame on you TFF.
Hapohapo wanasema watatangaza siku nyingine ya marudiano.
Kama mmeshaamua kurudiwa unachunguza nini? huu ni ushenzi na uhuni si mngesema tu tumehairisha kwaajili ya simba.
Shame on you Kassongo.
Shame kwa BODI yako.
Shame on you TFF.