Bodi ya filamu yamuondolewa Wema Sepetu adhabu

Bodi ya filamu yamuondolewa Wema Sepetu adhabu

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Bodi ya Filamu Hapa Nchini Imetangaza Rasmi Kumfungulia Star wa Filamu Hapa Nchini Wema Sepetu Sehemu ya Adhabu Ambayo Walimpatia Kutokana na Video Yake Kusambaa Kwenye Mitandao ya Kijamii Ikimuonesha Yupo Kimahaba na

Katika Mkutano na Waandishi wa Habari Bodi Imeeleza Kuwa Haijamfungulia Wema Sepetu Kwa Kumuonea Huruma Ila Wamefanya Hivyo Kwa Sababu Ametekeleza Aslimia 75 ya Mambo waliyomuagiza Ayafanye

Wema amesema Kuwa Hatorudia Tena Kosa Kwani Ilikua Mara ya Kwanza Kufungiwa na Bodi Lakini Pia Akionesha Furaha Kubwa ya Kupata Msamaha Huo
 
Abailike sasa sio kila siku anajiweka kama mtoto wakati amekuwa mtu mzima. Sijui kwanini hajifunzi kwa wenzie huyu dada, atulie kaaaaa
 
Tatizo lake kila anaporudisha umri nyuma na akili kama zinarudi reverse vile. Yaani watoto wazuri ndiyo wanaoharibikiwa.
Mungu atusaidie sana Tz.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom