Mimi kila mtu jua ni wekezaji kuba pale Simbazi halafu safari hii mimi tegemea pata mabilioni toka CAF ndo sababu mimi na dada iko fadhili simba sasa pesa yetu mingi tapotea bure. Bana Wambura tafurahi sana kama ile refarii iliyo chezesha Simba na KMC pale kirumba atapewa mechi mingi ya simba simu hii kwanza nisamehe sababu bado sijatoa shukuran kwa kunipangia poro nyingi simu iliyopita mpaka nikapata kombe !