M.Rutabo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 1,031
- 2,647
Wadau kila mtu hapa Tanzania anafahamu kwamba timu ya Yanga ina vinasaba na timu ya Pamba miaka na miaka sasa. Kwa upande mwingine timu ya Simba na Costal union ni mapacha kabisa. Sasa hii ratiba ya Yanga kucheza jana na Pamba na Simba kucheza leo na Costal wapanga ratiba walitaka kufikisha ujumbe gani kwa wadau wa mpira?